Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,253
Nawaza jambo hapa, kuwa kuna mihimili 3 ya Dola.
1. Bunge ambalo kiongozi mkuu ni speaker wa Bunge
2. Serikali ambayo kiongozi mkuu ni Rais na
3. Mahakama ambayo kiongozi mkuu ni Jaji Mkuu, na kuna dhana kwamba mihimili hii haingiliani.
Swali: Kwanini kwenye Bunge na Mahakama kuna picha ya Rais ambaye ni kiongozi wa Serikali? Kwanini pasiwe na picha za viongozi wote 3 wa dola au kila sehemu kuwa na picha ya kiongozi wake Mkuu?
Wajuzi mtuambie.
1. Bunge ambalo kiongozi mkuu ni speaker wa Bunge
2. Serikali ambayo kiongozi mkuu ni Rais na
3. Mahakama ambayo kiongozi mkuu ni Jaji Mkuu, na kuna dhana kwamba mihimili hii haingiliani.
Swali: Kwanini kwenye Bunge na Mahakama kuna picha ya Rais ambaye ni kiongozi wa Serikali? Kwanini pasiwe na picha za viongozi wote 3 wa dola au kila sehemu kuwa na picha ya kiongozi wake Mkuu?
Wajuzi mtuambie.