Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,683
Comment yangu moja umeijibu mara mbili, na unaniletea cases tofauti kujustify upigaji, basi ngoja nikukubalie mwanamke anapigwa, na tena anapigwa sana, mwanamke ndiye mtu pekee hukosea duniani, hivyo kumpiga ni haki kabisa. You happy now!?
Mwanamke akikosea anapigwa
Mwanaume akikosea anapigwa
Watoto wakikosea wanapigwa
Sasa sijui kwanini mwanamke ni special case kivipi?
Miwanawake bwana!Ni source ya aggression ila wakiwa countered wanaanza ku cry wolf,fvck em!