Bado Kidogo 2015 JF-Expert Member May 24, 2012 207 78 May 25, 2012 #2 Karibu, mwenzako nimezaliwa jana hapa jukwaani ila nachakaza magamba mpaka basi,
MatikaC JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,190 478 May 25, 2012 Thread starter #3 shukrani, duh mie nilizaliwa few weeks ago only today nimegundua kuna topic ya kuji-introduction, lakini nisha-piga tour kuwajua wadau
shukrani, duh mie nilizaliwa few weeks ago only today nimegundua kuna topic ya kuji-introduction, lakini nisha-piga tour kuwajua wadau
MatikaC JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,190 478 May 26, 2012 Thread starter #6 shikolo said: Mwangaluka wamisha mhola,karibu sana jamvini Click to expand... thank you much ma-shikolo
shikolo said: Mwangaluka wamisha mhola,karibu sana jamvini Click to expand... thank you much ma-shikolo
MatikaC JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,190 478 May 29, 2012 Thread starter #11 asanteni sana, najiskia nyumbani my hommies. ila ningependa nipate walau maji ya kunawa miguu
F Fofader JF-Expert Member Sep 28, 2011 860 293 May 30, 2012 #12 Karibu. Ila salamu zako zinaonekana zina mwelekeo wa kati na kaskazini!
MatikaC JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,190 478 Jun 28, 2012 Thread starter #14 Fofader said: Karibu. Ila salamu zako zinaonekana zina mwelekeo wa kati na kaskazini! Click to expand... kitanzania zaidi...
Fofader said: Karibu. Ila salamu zako zinaonekana zina mwelekeo wa kati na kaskazini! Click to expand... kitanzania zaidi...