kwa mfano huko nyuma umepigwa pasi.je?zoezi gani litanenepesha makalio?jamani ....mbona wale wanaotia dawa nywele hamuwaambii kwamba wamemuumbua mwenyezi mungu na alivyowaumba? wake zenu kila siku mnawapa pesa za saluni.
kutaka kujipendezesha kwa njia zisidhodhuru afya hakuna tatizo. kama miguu membamba na haingii nyama fanya mazowezi ya kuweka mapaja katika shape nzuri na kuyapunguza ili yalingane na mguu wako. hakuna tatizo hata kidogo.
pia kuna mazowezi ya kuyafanya makalio na tumbo yawe katika shape nzuri ili kucompansate na hiyo miguu
all the best
Miguu hiyo watu huzaliwa nayo...sidhani kama kuna dawa ya kuifanya ,miguu kama chelewa kuwa kama chuoa ya bia.labda ujaribu zile za kichina..
kwa mfano huko nyuma umepigwa pasi.je?zoezi gani litanenepesha makalio?
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye idea ya namna ya kuifanya miguu iwe ya bia au inenepe lkn sio kigimbi
kaka utakuja kulivaa jini siku na matamaa yakoKama ni mwanamke naomba number yako nikusaidie
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye idea ya namna ya kuifanya miguu iwe ya bia au inenepe lkn sio kigimbi
..Hiyo haitakuwa miguu ya chupa ya bia tena may be ni Chibuku vigimbi kwa kwenda mbele!!!fanya zoezi la kunyanyua mwili kwa ncha za miguu..mara mia kila siku kwa miezi sita.utaona mabadiliko
Teh teh teh! JM kuna mambo...Hiyo haitakuwa miguu ya chupa ya bia tena may be ni Chibuku vigimbi kwa kwenda mbele!!!
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye idea ya namna ya kuifanya miguu iwe ya bia au inenepe lkn sio kigimbi