Nimesikia watu wengi Sana tangu kipindi Cha korona kianze wanalalamika miguu kuuma, na maumivu ya mwili bila sababu!
Je, inaweza kuwa dalili mpya ya korona?
kwamba labda mili ya watu Sasa imekuwa sugu na korona kiasi Cha mili ya watu imejitengenezea ant-bodies (Kinga) ambazo zinapambana na wadudu wa korona wanaojirudia Mara kwa Mara kiasi Cha kuifanya mwili uchoke (uhisi) maumivu yanayohitaji Pain Killer?
Au Hilo likoje wadau ?
Je, inaweza kuwa dalili mpya ya korona?
kwamba labda mili ya watu Sasa imekuwa sugu na korona kiasi Cha mili ya watu imejitengenezea ant-bodies (Kinga) ambazo zinapambana na wadudu wa korona wanaojirudia Mara kwa Mara kiasi Cha kuifanya mwili uchoke (uhisi) maumivu yanayohitaji Pain Killer?
Au Hilo likoje wadau ?