Lover boi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 316
- 431
Habarini !
Nina tatizo la miguu kuchoka sehem za mapajani hasa nikiwa natembea eneo lenye mwinuko.
Vidole vyote vya miguuni kama vile vimekufa ganzi nahisi kama nimevaa soksi.
Mwanzo miguu ilianza kwa kuwaka moto sehem ya chini ya miguu baada ya hapo kufa ganzi na kuchoka Kwa miguu kulifata.
Naomba kujua chanzo na tiba yake nilienda hospitali nikapewa dawa za kupunguza maumivu ila hakuna matokeo chanya.
Kwa mtazamo wangu nahisi dozi ya macho na masikio nazo zinaweza kuwa chanzo ila sina uhakika kivile.
Asanteni
Nina tatizo la miguu kuchoka sehem za mapajani hasa nikiwa natembea eneo lenye mwinuko.
Vidole vyote vya miguuni kama vile vimekufa ganzi nahisi kama nimevaa soksi.
Mwanzo miguu ilianza kwa kuwaka moto sehem ya chini ya miguu baada ya hapo kufa ganzi na kuchoka Kwa miguu kulifata.
Naomba kujua chanzo na tiba yake nilienda hospitali nikapewa dawa za kupunguza maumivu ila hakuna matokeo chanya.
Kwa mtazamo wangu nahisi dozi ya macho na masikio nazo zinaweza kuwa chanzo ila sina uhakika kivile.
Asanteni