Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,881
Nyieeeeee hata Mdude CHADEMA ni kichwaMiguna Miguna uwa nasoma story zake kwenye "The Nairobian" jamaa ni kichwa"
Nyieeeeee hata Mdude CHADEMA ni kichwaMiguna Miguna uwa nasoma story zake kwenye "The Nairobian" jamaa ni kichwa"
Ha ha ha ha sio wasukuma wote ni huyu tu katia doa
ICC! Usisahau ziara yao pale EU house walipokwenda kushtaki eti wanaonewa! Waliishia kuzungumza na vijamaa vyenye jeans zenye sun bleach!Siyo Miguna tu, mbona mlitishia kwenda ICC, yako wapi? Na msipojiheshimu mtagongwa kweli kweli
Unaandika nini hiki? Kichwani uko sawa? Unashawishi tutafute warembo badala ya rais? Kwa watu wa aina yako lazina uburuzwe kama mbuzi. Hakuna sababu ya kusikiliza uchafu kama huu.Jamàa hapendezi kuwa rais. Basi tu. Sio presidential material kabisaaaaa. Hapendezi kwa suti wala t-shirt za kyama!!! No wonder anagwaya kupanda ndege kwenda uraya na Marekani. Si ataonekana kituko kwenye mikutano!!! He is not presentable!!! Eti chaguo la manani!!! Viongozi wa dini ( baadhi) nao.... Ovyooo kabisa. I bet hili ni chaguo la shetani.. Satan/ Lucifer@ Ibilisi. Poor Tanzanians, poor Tanzania!!!
Bila kusahau Tundu Lissu na ziara yake ya Ulaya na AmericaICC! Usisahau ziara yao pale EU house walipokwenda kushtaki eti wanaonewa! Waliishia kuzungumza na vijamaa vyenye jeans zenye sun bleach!
Yeap! Lissu alipoona anavyoshabikiwa mitandaoni, akaamini kwamba akisema lolote duniani kote watamshabikia tu! Ndo maana akasema haoni sababu ya kuandika barua kwa spika kwa sababu dunia yote inafahamu kwamba alipigwa risasi.Bila kusahau Tundu Lissu na ziara yake ya Ulaya na America
Chakaza...UMEMCHAKAZA CHIZI HUYO.Wewe una akili au chizi? Kwa ni Mambosasa ni mgambo? Kasema wanaye na wenzake wanawashikilia na wewe unasema polisi wamtafute tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anajinasibu kuwa mwanasheria nguli!Yeap! Lissu alipoona anavyoshabikiwa mitandaoni, akaamini kwamba akisema lolote duniani kote watamshabikia tu! Ndo maana akasema haoni sababu ya kuandika barua kwa spika kwa sababu dunia yote inafahamu kwamba alipigwa risasi.
Kumekuwa na majadiliano juu ya umuhimu wa elimu kwa mtu binafsi. Yaonekana Elimu huweka kitu kichwani lakini siyo lazima iondoe uchafu uliokaa kichwani. Mwizi anapojifunza sheria au anapopata mafunzo ya polisi, humfanya aijue sheria au kuwa polisi lakini haiondoi tabia ya wizi kichwani. Ni hivyo hivyo kwa mafunzo ya kidini na mengine, hata uwe mchungaji, wakati mwingine uhuni kichwani hautoki.Halafu anajinasibu kuwa mwanasheria nguli!