Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu ndg zangu wa JF, ndugu zangu natafuta kazi ya uhamiaji,elimu yangu ni ya form six. Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunijuza au kunielekeza nianzie wapi.
Asanteni sana
nakushauri kuwa na bidii ya kununua gazeti uweze ona kazi kama vp tafuta issue nyingine ya kufanya
Ni kweli mafunzo ni kiukakamavu kidogo lakini siyo ya kushindwa kufuzu. Chuo chao kipo Moshi siku hizi kama sikosei lakini awali walikuwa wanaenda Kiwira - Mbeya ambacho ndicho chuo kinachotoa mafunzo ya awali kwa askari Magereza. Uhamiaji waliomba recruit waowapitie hapo wakifuzu wanapangiwa post zao tayari kwa kulitumikia taifa. Swali la msingi kwa nini imependa kuwa afisa uhamiji? Maana idara y Uhamiaji ipo wizara ya mambo ya ndani kama ilivyo polisi, magereza na zima moto. Nadhani dogo utakuwa umevutiwa na mfumo wao ambao ni very corrupt! Sifa zao ukitaka kujiunga; - Origanal birth certificate, - Cheti cha form 4 na 6, vyote visiwe feki. Original certificate kwa waliopita zinapelekwa baraza la mitihani kwa uhakiki. - Barua ya maombi na uwe na urefu unaoanzia 5.6 inch.Niijuavyo Uhamiaji, watatangaza ajira magazetini. Mtatuma maombi na yatafanyiwa shortlisting. Ukiwemo utaitwa for interview. Ukifuzu itakulazimu muende chuo kwa mafunzo ya awali ya uhamiaji. huko ni mafunzo ya ukakamavu zaidi na dozi kidogo ya mambo yao. Baada ya hapo uko mzigoni. Kwa nini unapenda uwe afisa wa uhamiaji?
Ni kweli mafunzo ni kiukakamavu kidogo lakini siyo ya kushindwa kufuzu. Chuo chao kipo Moshi siku hizi kama sikosei lakini awali walikuwa wanaenda Kiwira - Mbeya ambacho ndicho chuo kinachotoa mafunzo ya awali kwa askari Magereza. Uhamiaji waliomba recruit waowapitie hapo wakifuzu wanapangiwa post zao tayari kwa kulitumikia taifa. Swali la msingi kwa nini imependa kuwa afisa uhamiji? Maana idara y Uhamiaji ipo wizara ya mambo ya ndani kama ilivyo polisi, magereza na zima moto. Nadhani dogo utakuwa umevutiwa na mfumo wao ambao ni very corrupt! Sifa zao ukitaka kujiunga; - Origanal birth certificate, - Cheti cha form 4 na 6, vyote visiwe feki. Original certificate kwa waliopita zinapelekwa baraza la mitihani kwa uhakiki. - Barua ya maombi na uwe na urefu unaoanzia 5.6 inch.
Karibu Idara ya Uhamiaji.... Natumai utaleta mabadiliko kidogo.. Na utajitahidi kadiri ya uwezo wako kuzuia maofisa wengine wa Uhamiaji kuuza "Work permit" kwa Machokoraa wa kizungu na kusababisha Wa-TZ kukosa kazi na kushinda na kukesha vijiweni na JF.
Kila mkoa una ofisi ya Uhamiaju hivyo barua zote za maombi zinapelekwa kituo chochote kilicho karibu, kuhusu ajira kuwa zinatoka lini hili halina wakati maalumu lakini ni lazima nafasi zitangazwe katika magazeti likuwemo daily news.na application letter zao huwa zinapelekwa wap,na maombi yao huwa yanaanza kupokelewa kuanzia lini?
Kila mkoa una ofisi ya Uhamiaju hivyo barua zote za maombi zinapelekwa kituo chochote kilicho karibu, kuhusu ajira kuwa zinatoka lini hili halina wakati maalumu lakini ni lazima nafasi zitangazwe katika magazeti likuwemo daily news.
Mishahara ni siri hivyo huwezi kuianika hapa jukwaani lakini ni mishahara ya kawaida kwa kuanzia mtu mwenye elimu kama y mtoa mda form six kwa sababu degree holder anaanzia na TGSD sasa kama na wewe unamkaribia siyo mbaya kihivyo.mishahara yao huwa ikoje?