Johnson Alex Otieno
Senior Member
- Mar 14, 2013
- 165
- 39
Hahari za kuaminika kutoka vyuo tajwa hapo juu,vijana wamechoshwa na ukata unaowakumba toka wameanza mwaka mpya wa masomo,vjana hawa wamekuwa wakitaka kujua hyo loanboard maana yake nn kwani hawaoni tofauti yakuwa na access na mkopo na acyekuwa nayo,vjana hawa kwa muda tofauti wameckika wakisema hawataweza kufanya test zlzopagwa na kugomea kwenda darasani mpaka wapewe hela zao za accomodation na field.Hlo ntafana maana wale wa UDSM wana tofauti gani mpaka wapewe hela kwa wakati hku UDOM wakicheleweshewa?