Migomo makazini - madaktari wamefuata taratibu na maadili

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wakuu Taifa letu kwa ujumla na serkiali "yetu" iko kwenye mgogoro na madaktari walio kwenye mgomo. Binafsi sijaelewa wazi chanzo na sababu na maudhui ya mgomo lakini nachtoambua sekta nyingi za huduma Tanzania zina haki na sabbau za kufanya mgomo

Kama mwananchi moja ya sababu inayonifanya nianze kuhoji mgomo wa madakari ni umuhmu wa huduma yao.. Umuhimu wa madaktari unaweza kuwa sawa na wahandisi ,walimu, wanasheria, lakini tofauti moja kubwa ni majukumu ya udaktari yahusu uhai. kwa hiyo kitendo cha madaktari kugoma

  • Hakitakiwi kuwa rahisi na cha haraka kama mwalimu, mwanasheria, etc Kuna mdau aisema inatakiwa kuwa ni option ya nne au tano
  • Mgomo wa madakari unatakiwa kuwa organised na muajiri anajulishwa mapema hata miezi mitatu kabla.... Huu ni uhai..........
  • Mgomo organised unatakiwa kuwa wa siku chache na unajuliknaa unaanza lini na unaisha lini. kama vile siku mbili tu . Baada ya miezi mitatu kama hwajakubaliana na mujiri wanagoma siku tatu tena .............

Ni kwa sababu hiyo pamoja na kuwa wana madai ya msingi madaktari hawa ambao ni wasomi naona hawakutumia taratibu na hatua zinazofaa na zinazoshabihiana na wao kuelewa unyeti wa kazi yao.

Vile vile tunaona na kusikia mgomo wao hauko orgnanised. Mara tunasikia mgomo umeanza sababu ya madakatari wanafuzi walio kwenye mazoezi kwa vtendo kuagizwa waende mikoani. Mara tunasikia mgomo ni sababu ya madaktari kutoridhswa na mazingira wanayofanyia kazi. Na wengne utasikia hata wanangolea uongozi na utawal wa sekta ya afya kutokuwa na watu sahihhi . Na wengne wanasema Posho.

So far nitaependa kufafanuliwa madai ya msingi yanayosababisha huu mgomo ni nini

Baada ya hayo nimetumia mtandao Kuona utaratibu wa wenzetu wanatumia kugoma. wao wnaita Industrial action. na hii sio ndusrial action ya madaktari......

What is industrial action?

There is no precise definition of industrial action in employment legislation. Put simply, it is either a strike, 'any concerted stoppage of work' (Trade Union and Labour Relations (Consolidation) Act 1992, section 246) or industrial action other than a strike.
This includes 'working to rule', refusing to do certain duties and not co-operating with the employer: in schools and colleges, this could mean refusing to provide cover, or refusing to attend out-of-hours meetings.

To be lawful, industrial action must:
  • be a dispute between workers and their employer relating to terms and conditions of employment, sharing out work, discipline, or union issues
  • not involve 'secondary action' or action taken by the employees of an employer who is not involved in the dispute
  • not involve unlawful picketing
  • follow a secret ballot, for which there is a legally-required procedure and timescale.
ATL's approach

ATL always tries to settle disputes through resolution rather than confrontation, and regards any form of industrial action to be a last resort.

While industrial action is taking place, it is important to concentrate on sorting out the dispute and assessing how likely the action (with its risks) is to achieve the desired outcome. Industrial action can be useful for achieving an aim, but should not be seen as an aim in itself.

Advice and support

One of ATL's basic principles is to advise, not instruct, its members. So ATL may authorise and encourage members to take part in industrial action, but it will not instruct them to do so.
You may be unwilling to take industrial action, either because of personal beliefs or because you are against the particular cause in question. Other members should be ready to respect this.
If you take part in industrial action which ATL approves and authorises in line with the procedure set out in ATL guidance (official and lawful industrial action), ATL will give you full professional support.
Balloting

ATL's executive committee is responsible for approving the ballot and the decision about authorising industrial action - any school, college or branch considering a ballot must approach a local executive member.
The timing, content and administration of the ballot is normally overseen by legal staff at ATL's London office. The decision to authorise action is then made by the president, one of the national officers or the general secretary in consultation with local officials and representatives and legal staff.
The employer must receive formal notice, giving them at least seven days' notice of the opening of the ballot and giving information about who will be asked to vote (members no longer have to be named individually).

By law, ATL needs to know who is eligible to vote (and later take part in any action) so it relies on its central computer record of members. It is very important that this record is updated before the start of the balloting process.
Every member who ATL believes will be invited to take part in any later industrial action is entitled to vote in the ballot. Even if there is a very small number of members (or perhaps just one) in an institution where ATL is considering industrial action, a formal ballot will still normally be needed.
Announcing the result

As soon as is reasonably practicable, ATL will write to those who were entitled to vote and to the employer, setting out:

  • the number of votes cast in the ballot
  • the number of people who voted 'yes' to the question or questions
  • the number of individuals who voted 'no' to the question or questions, and
  • the number of spoiled ballot papers, if any.
For school and college ballots, ATL will normally send this notice to the school or college representative to advise their ATL colleagues. ATL will send the letter for the management side to the formal employer of the staff, and will normally send a copy to the headteacher or principal.
If the dispute is branch-wide, or has regional or national significance, members may learn the outcome through the media before they receive official notice. In these cases, ATL will meet its responsibility to tell members the result, normally through workplace, branch or national notices or newsletters as appropriate.
Authorising industrial action

If the timescale allows, ATL's full executive committee will decide whether to authorise official industrial action. If this is not realistic (as is often the case), ATL will pass authority to authorise action to each of the senior national officers (the president, the senior vice-president and the junior vice-president) and the general secretary, in that order.
By law, only a simple majority of those voting need to be in favour of industrial action for the union to authorise it. However, ATL's constitution states that industrial action will be declared to be official if at least 60 per cent of those voting in a lawfully organised ballot support it.
If a majority of less than 60 per cent support industrial action, the executive committee (and those officers who have the power to authorise industrial action) can decide whether to approve the action.
Notifying the employer

Once industrial action has been supported in the ballot and ATL has authorised it, the employer must be given at least seven days' notice that it is about to begin. The notice must say whether the action will be continuous (for example, an indefinite strike or a continuing refusal to teach a pupil) or discontinuous (for example, a series of one-day strikes).

In the case of discontinuous action, the union must give at least seven days' notice of each occasion on which the industrial action will be taken. The notice must also give the employer information about which employees will take part (members no longer have to be identified by name).
If ATL authorises the action soon after the result of the ballot, the letter informing the employer of the result can also tell them when the action will start. ATL will normally send a copy of the letter to the headteacher or principal involved.
Taking industrial action

By law (unless there are other legal proceedings or the employer agrees an extension), the industrial action must start within four weeks of the date of the ballot (that is, when the ballot closes). In disputes that arise towards the end of term, care must be taken when considering the timing of the ballot to make sure that the four-week rule can be followed, taking account of school holidays.
Once the industrial action has started within the four-week limit, it can continue indefinitely. There is no formal requirement to ballot the members again after a certain length of time. However, if the action is suspended by the union (for example, if more negotiations are needed) the employer must be given seven days' notice of the action starting again, unless they have formally agreed to the suspension.

Endelea na hili chapisho hapa Industrial action

Nawasilisha kwa mjadala
 
hebu jaribu kukisoma ulichokiandika word toword, kama utaelewa tutaweza comment!
 
hebu jaribu kukisoma ulichokiandika word toword, kama utaelewa tutaweza comment!
aksante mkuu. Nashukuru

Takwimu za syntax eeron zangu zinaonyesha hazina tofauti na zako. naona na wewe kwa maneno kumi kuna kosa moja tayari umefanya Lakini nimekuelewa. na nimerekebisha
 
Mtazamaji: achana na hayo 'madesa' ya nchi za watu. Tanzania tumeisha elezwa kuwa kugoma ni haki kisheria ila utaratibu sharti uzingatiwe, sheria zetu ziko wazi ktk swala la nani anaruhusiwa kugoma na nani aruhusiwi kugoma na kwa utaratibu upi unaweza kutumika.

Kwa uelewa zaida soma:-
1. Sheria Ajira na mahusiano kazini No6
ya 2004(hasa kifungu cha 75,76,77..
imeelezwa pia taratibu zote za kugoma)
2:Sheria ya Taasisi za kazi No.7 ya 2004
(nani wa kushugulikia mgogoro)
3. Kanuni za utendandaji bora wa kazi
GN 67 ya 2007.
Sasa baada ya hapo ndugu Mtazamaji kama kuna mapungufu ''lacuna'' unaweza kutafuta hayo madesa yako.

Ila kwa ujumla ili ufanye mgomo lazima utoe NOTISI ya muda kadhaa kwa upande wa pili ukiutaarifu nia ya kugoma.

SASA KTK ILI LA MADIKTARI UNAWEZA KUPIMA MWENYEWE.
 
Back
Top Bottom