Bwana Masanja na wengine wenye mawazo kama haya wasalaam;
Naongea kwa uchungu na masikitiko makubwa kama mwalimu wa hawa wanafunzi waliofukuzwa well rank yangu ni junior, not senior nadhani mnanielewa.
Kuna siku nilipata kigugumizi pale ambapo mwananfunzi wa kike alinijia na kunieleza kuwa bodi ya mikopo imempa 60% wazazi wake hawana uwezo kwa hiyo hataweza kuhudhuria kipindi anataka aende kwa ndugu zake na jamaa akatafute chochote kile, alikuja kunieleza prior to kipindi, kwani they know sitaki mwanafunzi akose kipindi changu. Wakati ananieleza, msichana mdogo sana akiwa amejifunga ushungi anatokea Tabora, she real changed my mood of teaching.
Nimemaliza mlimani, wakati huo mkopo ulikuwa asilimia 100% I real feel proud kwani sasa serikali inakata deni lao, hili linanipa raha na kuona kuwa kama inafanyika hivi kwa watu wote basi there is no need ya kuwagawa watu kuwa hawa ni wa matajiri na hawa ni wa maskini!
We are all Tanzanian, nchi za kibepari kama USA na Canada japo wana uwezo lakini wanatoa mkopo asilimia 100. Kumbuka hela hii ina riba,unauwa unaua ndege wawili kwa jiwe moja, you ra building country at the same time mnatengeneza profit. Hebu fikiria wamegraduate wanafunzi 2000 kwa mwaka hawa wanafunzi wakianza kulipa deni let say kila mwezi sh.10000 Bodi ya mikopo ina hakika kukusanya sh.milioni 20 kila mwezi, kwa mwaka.....
Hii tabia ya kuitetea serikali inatupa wasiwasi sana, maana hata huko hospitali hali ni mbaya, tumebaki kung'ang'ania serikali ina mambo mengi! wapi ambako serikali haina mambo mengi, angalia Botswana,Nigeria they have lots of educated people ngalia walivyotuacha.Tusiwaze wala kutamani kuwa na taifa la watu mbumbumbu.
Wanafunzi wanaokuja UDSM wanatoka kila pembe ya TZ, fikiria wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa kike, hawana nauli wanarudi nyumbani! hivi tunajua wanaenda wapi?? wanafanya nini?
Wanafunzi wametoa hoja nzito hakuna aliyeiona wana statistics kuwa walipoanza haya mambo ya asilimi asilimia wengi wamefeli miaka hii kulinganisha na miaka iliyopita(kumbuka yule msichana wa tabora kakosa kipindi kwenda kuomba hela), they have to find money, some of them is just money dont mind how I will get it! Kama kuna mtu haamini aende maeneo ya Jolly Cluba na kwingineko we have university and colleges student that are selling themselves!
Kuna wanachanganyikiwa na wale wanaofanya matanuzi ,well hao ni wachache kulinganisha na idadi ya wanafunzi wengi ambao ni maskini.
Simu za mikononi za miaka ya tisini zina tofautiana sana na za miaka ya sasa, magari ya manual taratibu yanapotea yanakuja automatic, window 97 imekuwa upgraded to 2007, Nyerere na Mwinyi waliofunga chuo na wakawafukuza wanafunzi miaka yao tunaendelea kushuhudia same style inatumika!!still hamna solution yeyote ya maana mpaka leo hii isipokuwa ni kutumia teknik ile ile ya zamani ''kufukuza'' wanafunzi watarudi na mwakani watagoma tena!
Kuna kiongozi wa wizara alihaidi kuja kuongea na wanafunzi mchana, wanafunzi walimsubiri Nkrumah mpaka saa 12 jioni!
Ukiona maprofesa hawana utatuzi mwingine isipokuwa kufukuza ujue bado tuko gizani, na giza hilo litaondoka kwa watu wengi kusomeshwa! na kusomeshwa ndio huku wanafunzi wanalilia! ''VC =JK''!!!!
Ni kilio cha kila mtanzania anayetaka maisha ya vizazi vijavyo yawe mazuri.Obama amemaliza juzi juzi tu kulipa deni lake la Havard.
Bodi inaweza kukusanya mikopo inaweza ikawabana watu ndani na nje ya nchi, ni kuwa na system, inawezekana wala mtu asifikirie kuwa inashindikana.
Kuna watu watauliza mimi nafanya nini sana, mimi ni mmoja wao lakini niko upande wa wanafunzi, sauti yangu kubwa lakini haisikiki, maana ya wanafunzi zaidi ya 5000 waliosimamia ukweli wanashindwa kusilizwa je mimi? Acha nisemee JF angalau maandiko yangu na nafsi yangu ishuhudie milele.
That was right move, they dont have support, they need every Tanzanian to be behind them, wanahitaji support yako wewe!!
Mungu Ibariki Tanzania
waberoya
Hii inthibitisha kuna matatizo ktk elimu Tanzania hasa hapo iliposomea ww maana umetanguliza kununua miundo mbinu kabla ya shule kuisha hilo pia ni tatizo !!!Ndio nilisoma vyuo vya Tanzania. Na pesa nilizopewa mwanzo wa semeter nilinunua Samsonite, Friji n.k Na mwisho wa semester nilikuwa broke.
Bwana Masanja na wengine wenye mawazo kama haya wasalaam;
Naongea kwa uchungu na masikitiko makubwa kama mwalimu wa hawa wanafunzi waliofukuzwa well rank yangu ni junior, not senior nadhani mnanielewa.
Kuna siku nilipata kigugumizi pale ambapo mwananfunzi wa kike alinijia na kunieleza kuwa bodi ya mikopo imempa 60% wazazi wake hawana uwezo kwa hiyo hataweza kuhudhuria kipindi anataka aende kwa ndugu zake na jamaa akatafute chochote kile, alikuja kunieleza prior to kipindi, kwani they know sitaki mwanafunzi akose kipindi changu. Wakati ananieleza, msichana mdogo sana akiwa amejifunga ushungi anatokea Tabora, she real changed my mood of teaching.
Nimemaliza mlimani, wakati huo mkopo ulikuwa asilimia 100% I real feel proud kwani sasa serikali inakata deni lao, hili linanipa raha na kuona kuwa kama inafanyika hivi kwa watu wote basi there is no need ya kuwagawa watu kuwa hawa ni wa matajiri na hawa ni wa maskini!
We are all Tanzanian, nchi za kibepari kama USA na Canada japo wana uwezo lakini wanatoa mkopo asilimia 100. Kumbuka hela hii ina riba,unauwa unaua ndege wawili kwa jiwe moja, you ra building country at the same time mnatengeneza profit. Hebu fikiria wamegraduate wanafunzi 2000 kwa mwaka hawa wanafunzi wakianza kulipa deni let say kila mwezi sh.10000 Bodi ya mikopo ina hakika kukusanya sh.milioni 20 kila mwezi, kwa mwaka.....
Hii tabia ya kuitetea serikali inatupa wasiwasi sana, maana hata huko hospitali hali ni mbaya, tumebaki kung'ang'ania serikali ina mambo mengi! wapi ambako serikali haina mambo mengi, angalia Botswana,Nigeria they have lots of educated people ngalia walivyotuacha.Tusiwaze wala kutamani kuwa na taifa la watu mbumbumbu.
Wanafunzi wanaokuja UDSM wanatoka kila pembe ya TZ, fikiria wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa kike, hawana nauli wanarudi nyumbani! hivi tunajua wanaenda wapi?? wanafanya nini?
Wanafunzi wametoa hoja nzito hakuna aliyeiona wana statistics kuwa walipoanza haya mambo ya asilimi asilimia wengi wamefeli miaka hii kulinganisha na miaka iliyopita(kumbuka yule msichana wa tabora kakosa kipindi kwenda kuomba hela), they have to find money, some of them is just money dont mind how I will get it! Kama kuna mtu haamini aende maeneo ya Jolly Cluba na kwingineko we have university and colleges student that are selling themselves!
Kuna wanachanganyikiwa na wale wanaofanya matanuzi ,well hao ni wachache kulinganisha na idadi ya wanafunzi wengi ambao ni maskini.
Simu za mikononi za miaka ya tisini zina tofautiana sana na za miaka ya sasa, magari ya manual taratibu yanapotea yanakuja automatic, window 97 imekuwa upgraded to 2007, Nyerere na Mwinyi waliofunga chuo na wakawafukuza wanafunzi miaka yao tunaendelea kushuhudia same style inatumika!!still hamna solution yeyote ya maana mpaka leo hii isipokuwa ni kutumia teknik ile ile ya zamani ''kufukuza'' wanafunzi watarudi na mwakani watagoma tena!
Kuna kiongozi wa wizara alihaidi kuja kuongea na wanafunzi mchana, wanafunzi walimsubiri Nkrumah mpaka saa 12 jioni!
Ukiona maprofesa hawana utatuzi mwingine isipokuwa kufukuza ujue bado tuko gizani, na giza hilo litaondoka kwa watu wengi kusomeshwa! na kusomeshwa ndio huku wanafunzi wanalilia! ''VC =JK''!!!!
Ni kilio cha kila mtanzania anayetaka maisha ya vizazi vijavyo yawe mazuri.Obama amemaliza juzi juzi tu kulipa deni lake la Havard.
Bodi inaweza kukusanya mikopo inaweza ikawabana watu ndani na nje ya nchi, ni kuwa na system, inawezekana wala mtu asifikirie kuwa inashindikana.
Kuna watu watauliza mimi nafanya nini sana, mimi ni mmoja wao lakini niko upande wa wanafunzi, sauti yangu kubwa lakini haisikiki, maana ya wanafunzi zaidi ya 5000 waliosimamia ukweli wanashindwa kusilizwa je mimi? Acha nisemee JF angalau maandiko yangu na nafsi yangu ishuhudie milele.
That was right move, they dont have support, they need every Tanzanian to be behind them, wanahitaji support yako wewe!!
Mungu Ibariki Tanzania
waberoya
Kwa wenye uelewa, hivi hiyo mikopo kweli inalipwa au? Na kama jibu ni ndio, wanatumia utaratibu gani maana kuna wanaomaliza hapo chuo hawana kazi/kipato na anuani zao hazijulikani.Nchi ilivyo hakuna jinsi ya kuwafuatilia.Sasa inakuwaje kwa mfano kama watapewa wote mkopo 100% halafu wasirejeshe. Mzungumzaji hapo juu analingalisha na mikopo ya vyuo Marekani ambapo huku kuna mifumo inayoeleweka na mtu hawezi kukwepa kulipa labda ahame!
[/COLOR]
Mkuu Kz, wakati unasoma au???
Hehehehe mwaka wa tatu FASS. socialogy............... we bado mwanafunzi bwana
DUCE nacho kimefungwa leo. Kutoka Morogoro SUA nako, kampasi ya Mazimbu, wameanza mgomo leo
...mwisho wa yote anaumia mwanafunzi...serikali wala vyuo havina mwili, haviumiii...
Bw Masanja, lakini hata kama constitution haikupi nafasi hiyo mojaa kwaa mojaa ya kupata mkopo, lakini ni wajibu wa serekali kuweka mazingira hayo ya kukuwezesha kupata mkopo, na sio tu wa chuo kikuu nk, bali hata wakujenge nyumba, kununua jokofu, gari etc etc.Mkuu, heshima mbele,
Mimi nakupata kabisa. Hakuna anayeitetea serikali. LAKINI naomba nikukumbushe (hata mimi nilisoma wakati bado tunapewa 100% ya mkopo, kwa hiyo sasa hivi nalipa deni). Bandiko langu limelenga kufikisha ujumbe kwamba...ni kweli Jamhuri yetu imeshindwa kutatua hili tatizo kwa miaka mingi. Lakini vile vile na sisi hebu tujiulize tumeanza kutumia migomo lini ku-achieve tunachokitaka? Ni siku nyingi sana. Na matokeo tumeyaona kwamba migomo haisaidii, sana sana wanafunzi wanafukuzwa..wanarudishwa kwa masharti bila hata kutatuliwa yale ya mwanzo!. Kifupi serikali na wanafunzi wote ni losers katika hili la mgomo. Kama serikali haijifunzi katika hili so is wasomi wetu.
Mimi maoni yangu, ni kwamba hawa wanafunzi wabadilishe strategies za kudai haki zao. By the way Waberoya: WE ARE DEALING WITH UNIVERSITY STUDENTS. Kifupi hii ndiyo cream ya taifa! Sasa mkuu wewe unataka tuwahurumie kama wanafunzi wa certificate pale Butimba au Bunda? Hawa ndo inabidi wawe majemedari wetu. Sasa kama mwanafunzi wa Chuo Kikuu hawezi kutumia njia mbadala ya mgomo kudai haki yake kama intellectual..mwananchi wa kijijini..unategemea afanye nini?
Hapana, much as I understand and feel their plight as students, lakini lazima nao wajue kwamba migomo tangu tuanze kuitumia vyuo vikuu haijawahi kutusaidia! sana sana inapostpone matatizo.
Kwa mfano: Hawa wanafunzi ingebidi wajiorganize kama wanafunzi wa sekta ya elimu ya juu Tanzania nzima waichambue ile sera waone mapungufu yake, waende kuongea na serikali wakiwa na (the datazz) kuhusu kipi wanakipinga. Infact wangetuletea hata humu JF vipengele wanavyoona vinawakandamiza tukavichambua! Hii ingewasadia kupata support ya umma (atleast hata humu JF). Mpaka leo wanafunzi wa vyuo vikuu wameshindwa kusolve matatizo yao kwa kutumia vyombo kama mahakama. (yes you might say its a far fetched idea!). Lakini mpaka leo Tanzania unafuu wa kikatiba tulio nao..ulitetewa na mtuu mmoja in the name of Mtikila (usijali matatizo yake mengine). Usishangae kuna baadhi ya waliogoma.......Hawajui wanagomea nini haswa..sana sana watakwambia ni 40% ya mkopo. Kuna wengine hawajawahi hata kuiona hiyo sera! University students need to sit down and do their homework!
Hata wengine humu JF tunailaumu hiyo serikali ya kifisadi ya JK, lakini ukweli inawezekana hatujawahi hata kuiona hiyo sera ya mikopo na kuisoma vizuri!
Yes, serikali yetu ni ya kifisadi, yes hawawajali wanafunzi na proletariats wengine..., yes watoto wa wakulima wanaumia and on and on..but at the end of the day...mgomo ndo utampa nafuu mtoto wa mkulima? What we need ni hawa jamaa wakae chini wahangaishe ubongo. Enzi za rev square zimeshapitwa na wakati! By the way na serikali hata kama ni mafisadi inaongozwa na watu..ukiwatight kwenye kona...wanaelewa..!
I say it again; swala la mikopo linahitaji mjadala wa umakini sana kati ya wanafunzi/wawakilishi wao na serikali. Na they should know..wameshikilia makali wakati serikali imeshikiria mpini! Hapa JF..we can blame the government in all possible terms..but at the end of the day...Lazima tujue kwamba mGomo hautawasaidia hawa wanafunzi.... Nadhani wengi mnakumbuka enzi za marehemu mzee Abdallah Ngororo....
Mkopo hauwezi kuwa haki (ukiachilia mbali public sentiments za wengi wetu humu..kwamba serikali ina wajibu wa kukupa mkopo..). Yaani kweli na akili yako ya chuo kikuu..can you convincingly argue that serikali (ya Tanzania) ina WAJIBU wa kukupa Mkopo? Really? You better go back to your constitutional and human rights law class! Ndo maana nasema wanafunzi wawe smart waache longo longo za kukimbia bara barani..we did..it never helped us! Neither will it help them this time around. Na aneyekwenda hospitali..serikali ina wajibu wa kumpa dawa..kama akiambiwa alipe atagoma?
Tuache utani wakuu..wengi humu mnakaa majuu..you sshould know better than we do hapa bongo!
Wakuu nchi yetu ina matizo ya kiutawala...ila kuweza kupata tunachokihitaji..inatakiwa tuwe werevu zaidi yao!
Masanja,
Mhh, ndugu yangu wewe unataka kumtangaza mwenzako hapa kwenye jamvi?[/QUOTE]
Hehehe simaanishi hivyo kaka.....
Internal news nilizozipata ni kuwa kulikuwa na kikao kati ya walimu na uongozi wa chuo ambapo walimu wote wamegoma kuendelea kufundisha wale wanafunzi waliobakishwa wakiwemo foreigners, walimu wamesema kamwe hawataingia darasani kufundisha foregners pekeee kama vp ni bora wafukuzwe wanafunzi wote au wanafunzi warejeshwe as soon as possible na inasemekana kuwa ndani ya wiki tatu wanafunzi wote watarejeshwa ingawa kutakuwa na masharti magumu zaidi.............. WABEROYA UPOOO TUPE MORE INFO HAPA
Kwa wenye uelewa, hivi hiyo mikopo kweli inalipwa au? Na kama jibu ni ndio, wanatumia utaratibu gani maana kuna wanaomaliza hapo chuo hawana kazi/kipato na anuani zao hazijulikani.Nchi ilivyo hakuna jinsi ya kuwafuatilia.Sasa inakuwaje kwa mfano kama watapewa wote mkopo 100% halafu wasirejeshe. Mzungumzaji hapo juu analingalisha na mikopo ya vyuo Marekani ambapo huku kuna mifumo inayoeleweka na mtu hawezi kukwepa kulipa labda ahame!