Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Tutafakari,
Mkubwa siku ya muungano alisena matatizo ya muungano ni kama ndoa hili swala linaleta maswali mengi.
Hivi mkubwa mara kadhaa akisikika akitaka kuoa mara watu wa pwani mara watu wa kusini toka akiwa waziri wa ujenzi.
Na majuzi tena akasema siri ya kuishi maisha marefu ni kuoa wake wengi ushauri kaupata kwa Mzee Mwinyi.
Kwenye mazishi ya kada wa chama akadai wanajuana kwani anawajua zaidi ya wake 5. ( wanajuana means wako wote)
Juzi kasema kero za muungano ni sawa na ndoa hii inatoa picha gani?
Najua upendo huanzia nyumbani hasa kwenye familia yako na watu hupenda kuangalia tokea nyumbani ili upewe uongozi hata kazini, kiongozi wakitarajia una nguvu ya kustahimili.
Hizi kauli za mkubwa zinamaanisha nini?
Mkubwa siku ya muungano alisena matatizo ya muungano ni kama ndoa hili swala linaleta maswali mengi.
Hivi mkubwa mara kadhaa akisikika akitaka kuoa mara watu wa pwani mara watu wa kusini toka akiwa waziri wa ujenzi.
Na majuzi tena akasema siri ya kuishi maisha marefu ni kuoa wake wengi ushauri kaupata kwa Mzee Mwinyi.
Kwenye mazishi ya kada wa chama akadai wanajuana kwani anawajua zaidi ya wake 5. ( wanajuana means wako wote)
Juzi kasema kero za muungano ni sawa na ndoa hii inatoa picha gani?
Najua upendo huanzia nyumbani hasa kwenye familia yako na watu hupenda kuangalia tokea nyumbani ili upewe uongozi hata kazini, kiongozi wakitarajia una nguvu ya kustahimili.
Hizi kauli za mkubwa zinamaanisha nini?