Huu ni mgogoro wa ardhi baina ya vijiji viwili vinavyopakana kijiji cha Arash kata ya Arash na kijiji cha pilaya kata ys malambo. Kwa taarifa zilizotufikia ni kwamba wananchi wa vijiji husika waliingia kwenye migogoro hiyo siku mbili zilizopita.
Wanakijiji wa piyaya kwa msafara mkubwa zaidi ya magari mawili wakiwamo viongozi wa mila viongozi wa kijiji na viongozi wa mila Laogwanak na polisi walifika na kuhamisha ngombe katika eneo la olembuya mpakani mwa hifadhi ya wanyama ya Serengeti kwa madai kuwa hawataki kuona mifugo ys vijiji vya jirani katika eneo hilo.
Wananchi wa kijiji cha Arash kitongoji kinachopakana na Piyaya walifika kwa wingi wakitaka kujua suala hilo la kuhamishwa ngombe katika eneo hilo ambayao kwao pia walijua ni sehemu ya kitongoji chao. Lakini la kushangaza baada ya muda viongozi wa pande zote walipofika kwa mazungumzo na kutafuta suluhishi viongozi hao walishindwa kutokana na,kwamba upande wa Piyaya wao walidai kuwa sehemu hiyo ilikuwa ni sehemu ya kijiji cha Arash lakini Mwenyekiti wa kijiji cha Arash Kiaro Orminis kwa miaka ya nyuma alifanya mazungumzo nao na kuwauzia sehemu hiyo ya kijiji jambo ambalo liliibuwa tafrani kubwa kwa wananchi wa kijiji cha Arash ambao ndoo wamiliki halala wa sehemu hiyo iliyimegewa ktk kijiji cha piyaya.
Bado suala hilo ni tata na mwafaka bado haukufikiwa.
Wanakijiji wa piyaya kwa msafara mkubwa zaidi ya magari mawili wakiwamo viongozi wa mila viongozi wa kijiji na viongozi wa mila Laogwanak na polisi walifika na kuhamisha ngombe katika eneo la olembuya mpakani mwa hifadhi ya wanyama ya Serengeti kwa madai kuwa hawataki kuona mifugo ys vijiji vya jirani katika eneo hilo.
Wananchi wa kijiji cha Arash kitongoji kinachopakana na Piyaya walifika kwa wingi wakitaka kujua suala hilo la kuhamishwa ngombe katika eneo hilo ambayao kwao pia walijua ni sehemu ya kitongoji chao. Lakini la kushangaza baada ya muda viongozi wa pande zote walipofika kwa mazungumzo na kutafuta suluhishi viongozi hao walishindwa kutokana na,kwamba upande wa Piyaya wao walidai kuwa sehemu hiyo ilikuwa ni sehemu ya kijiji cha Arash lakini Mwenyekiti wa kijiji cha Arash Kiaro Orminis kwa miaka ya nyuma alifanya mazungumzo nao na kuwauzia sehemu hiyo ya kijiji jambo ambalo liliibuwa tafrani kubwa kwa wananchi wa kijiji cha Arash ambao ndoo wamiliki halala wa sehemu hiyo iliyimegewa ktk kijiji cha piyaya.
Bado suala hilo ni tata na mwafaka bado haukufikiwa.