Rais jakaya mrisho kumteua kuwa mbunge, je ni mpango wa kumuandaa kuwa waziri ili kumtengeneza 2015 kuwa Rais wa Tanganyika au makamu wa Rais wa JMT?
Rais jakaya mrisho kumteua kuwa mbunge, je ni mpango wa kumuandaa kuwa waziri ili kumtengeneza 2015 kuwa Rais wa Tanganyika au makamu wa Rais wa JMT?
Huyu yupo katika mchakato - anapikwa kuwa mgombea wa urais wa JMT kwa tiketi ya ccm 2015. Wale wa Lowasa walie tu.
Lowassa hata akiwa ni kiongozi mzuri lakini tatizo hasafishiki.Komredi Lowassa ataiua ccm kabisa wasimpompa 2015...atasponsor upinzani na wagombea binafsi na kumeguka na kipande kikubwa cha ccm...watz hawako tayari kwa kuwekewa Rais wa kulinda usultani wa Bagamoyo
Siyo kwamba anamuandaa kumrithi Prof. Mgimwa. Nasikia yuko mahututi huko Afrika ya Kusini
Huyu yupo katika mchakato - anapikwa kuwa mgombea wa urais wa JMT kwa tiketi ya ccm 2015. Wale wa Lowasa walie tu.