Papa Diana
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 304
- 22
Not yet tanzania!
Jamani msicheze na kamati kuu ya CCM!!! Pata Picha....Sita ajitoketeze kugombea....halafu Lowassa nae ajitokeze>>>>kuepuka mpasuko watasema zamu ya kina mama..hapo wanamweka Dr. Migiro kkwisha kazi!!