Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,506
Hana kazi za kufanya cc LIKUD
Hana kazi za kufanya cc LIKUD
Aah!Halafu lilivyo kuwa taahira linabadilisha ID ila mwandiko ule ule. Mi nahisi jamaa linagongwa hili
AiseeeeHalafu lilivyo kuwa taahira linabadilisha ID ila mwandiko ule ule. Mi nahisi jamaa linagongwa hili
bwege wewe soma kwanza message uelewe ndo uwe unareply, sio krupukrupu! unafikiri kila anaechangia uzi wako ni shabiki wa yanga... kwa taarifa yako ni kwamba yanga hapo hata akilini mwagu.Hivi Yanga SC yako hii sasa ilivyo hata Wakiroga mpaka watoe Mikafara kwa Simba SC iliyokamilika unadhani inaweza Kuifunga? Endelea kuota Ndugu ila leo iwe ni dakika 90 au ziada 120 au Mikwaju ya Penati Yanga SC anafungwa. Tunza hii Post yangu na baada ya Saa 1 Usiku tutakutana hapa hapa JamiiForums sawa?