Mightier nikiwa nasema kuwa Yanga SC Kumeshavurugika, kuna Fukuto na Uadui wa chini chini kwa Watendaji muwe mnanielewa tafadhali

Hilo jina la makolo kalitoa nani ? siss tunalitambua utopolo liliotolewa na shabiki lile linalotembea na midoli ya rangi za ccm na kuvaa miwani mitatu mitatu
Tumelitoa sisi, si shida usipolitambua maana sisi tunalitambua.

Haya naomba majibu ya hiko nilichouliza.
 
Tumelitoa sisi, si shida usipolitambua maana sisi tunalitambua.

Haya naomba majibu ya hiko nilichouliza.
kazi yenu huko ni kukotoa majina ya hovyohovyo? ila general Utopolo alitisha sana hilo jina hadi Ghana, Nigeria wanalijua limevuka mipaka sana
UTOPWINYO
 
Baada ya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli kuonyesha Chuki zake alizokuwa amezihifadhi dhidi ya aliyekuwa Mtendaji Mwenzake Afisa Uhamasishaji Antonio Nugaz kuna yaliyojiri huko.

Najua Watu wengi mnashangaa na Kujiuliza ni Kwanini Msemaji wa GSM Yanga SC Haji Manara kuelekea Mechi ya Watani wa Jadi yuko Kimya na hajafanya zile Media Tour zake za Kuinadi Yanga SC na Kupromoti Mchezo husika.

Kwa Taarifa ambazo Mightier huwa nazipata Kiuwepesi mno ( japo Yanga SC hudhani wanazificha zisijulikane ) zinasema kwamba Kitendo cha Hassan Bumbuli kumsema ( kumchamba ) Antonio Nugaz kimemshtua na Kumuogopa a Haji Manara ambaye nae Kaamua Kususa Kuinadi ( Kuipromoti ) Mechi husika.

Hivi sasa katika Kurugenzi ( Kitengo ) cha Mawasiliano ( Habari ) cha Yanga SC kuna Mpasuko mkubwa sana zinazoambatana na Chuki za chini chini na Kuhujumiana kwa Maafisa Waandamizi Wawili Hassan Bumbuli na Haji Manara.

Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli ( chini ya Mwenyekiti Dkt. Msolla ) anatuhumiwa na Msemaji Mwenzake Haji Manara kuwa anamfitinisha kwa Wanachama wa Yanga SC hali iliyopelekea Yeye ( Manara ) Kutengwa katika Mikakati na Maandalizi ya Mechi ya Kesho kwa Kutoaminika na Kuhisiwa ni Msaliti.

Msemaji wa GSM Yanga SC Haji Manara ( chini ya Injinia Hersi ) anatuhumiwa na Msemaji Mwenzake Hassan Bumbuli kuwa anatumia Ukaribu wake na Matajiri wa GSM katika Kumfitinisha Kwao ili Yeye ( Bumbuli ) aondoshwe rasmi na Kitengo chote kiwe chini yake.

Kitendo cha Msemaji Haji Manara kuamua Kukaa Kimya ( hasa katika Kutoizungumzia ) Mechi ya Derby ya Kesho katika Redio mbalimbali kama ilivyokuwa Kawaida yake kimetafsiriwa kuwa amesusa na kukasirika kwani Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) inayoroga Mechi ya Kesho imeonya kuwa Haji Manara atengwe Kwanza katika Mikakati ya Mchezo wa Kesho.

Na namalizia kwa kuwapeni nilichohakikishiwa na Chanzo changu aminika ndani ya Klabu ya Yanga kuwa endapo Kesho Yanga SC itafungwa ( na Mightier najua Yanga SC watafungwa ) ni kwamba Mmoja kati ya Msemaji Hassan Bumbuli na Haji Manara ataondolewa rasmi akisindikizana na Kocha Nabi ambaye tayari ameshaliandaa Begi lake liko Standby kwani Kesho ndiyo mwisho wake Kuwa Kocha wa Yanga SC na Nafasi yake itachukuliwa na Kocha Cedric Kaze ambaye atasaidiwa na Mzawa Mkongwe huku Kocha Mwinyi Zahera akiteuliwa rasmi kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga SC.

Yanga SC mtawaficha Wote juu ya yanayoendelea huko Klabuni na Kambini Kwenu, ila siyo Mimi Mightier kwani nawajua kuliko mnavyojijua na mlipo nipo na najua tokea jana mnahangaika kutafuta Maiti ili mkaifukie Uwanjani ( kama Kawaida yenu ) ila hamjafanikiwa bado na jana niliwaonya na nipo macho nanyi juu ya hili na Ole wenu muitoe kwani nitawaumbua pamoja na hiyo Hospitali Kudadadeki.

Haji Manara pole na hapo bado sana kwani Mabalaa zaidi yanakujia na yakumbuke maneno ya Antonio Nugaz aliyokuambia Ghorofani Posta Mpya kuwa ASANTE KWA ULIYOMFANYIA, ANAMUACHIA MWENYEZI MUNGU na kwamba MALIPO NI HAPA HAPA Duniani.
Kwaiyo wasemaji wakivurugana ndo utapata ushindi kesho, ngoja tusubili icho unachokiongea tuone Kama kitatokea maana watu Kama nyie ni kuwaumbua kwa vitendo alafu midomo mtaifunga zip
 
Oya wewe Mightier kama unaupata umbea wote huu wa Kambini, Basi wasimtenge Haji Manara pekeyake, inaonyesha hapo Yanga kuna Yuda mwingine mamluki.
 
Yanga bila kuloga hawatoki kesho. kwa hali ilivyo wanafanya kila mbinu ili washinde match. maana wasiposhinda kuna upepo mbaya sana utavuma pale jangwani. kwa hiyo hii match kwa yanga ni muhimu mno kushinda kuliko ilivyo kwa simba
Yanga ina watu safari hii wewe....tunakusubirieni nyie mtafanyaje bila Luis na Chama
 
Ila itakua kweli maana sope amepoa sana
Ukiona Mightier nakuja na Taarifa hapa jua 99.9999% ni ya Ukweli mtupu na nilichokileta ndiyo Kinaendelea kwani huko ndani ( Klabuni Kwao Yanga ) nina Watu ambao Wao wanadhani ni Wenzao wakati ni Simba SC Kindakindaki.
 
Timu inakuwa na wasemaji luundo kila mtu anajitangaza msemaji.lazima wavuruge timu. Lazima abaki mmoja huyohuyo.msemaji huyo huyo muamasishaji. Sasa yanga yangu mnasajili viongozi wengi kuliko wachezaji ndio.maboresho hayo?
Huenda kati ya Mashabiki wa Yanga SC ( ambao Kutwa huwa Nawadharau kwakuwa hawana Akili ) basi Wewe ndiyo ukawa Mmoja wao tu mwenye Akili nzuri na sawasawa kwani Umeandika Madini ( Point ) tupu Ndugu.
 
Yanga bila kuloga hawatoki kesho. kwa hali ilivyo wanafanya kila mbinu ili washinde match. maana wasiposhinda kuna upepo mbaya sana utavuma pale jangwani. kwa hiyo hii match kwa yanga ni muhimu mno kushinda kuliko ilivyo kwa simba
Hivi Yanga SC yako hii sasa ilivyo hata Wakiroga mpaka watoe Mikafara kwa Simba SC iliyokamilika unadhani inaweza Kuifunga? Endelea kuota Ndugu ila leo iwe ni dakika 90 au ziada 120 au Mikwaju ya Penati Yanga SC anafungwa. Tunza hii Post yangu na baada ya Saa 1 Usiku tutakutana hapa hapa JamiiForums sawa?
 
Kala ban ya maisha ila karudi kivingine siku hizi akijulikana kama Mightier kama hivi anatupatia za ndani kabisa kutoka utopolo,,
Kuna Member humu kasema kabadili ID yake na sasa anajulikana kama Poisonous sasa labda nikuulize tu je, Member anayepigwa Permanent Ban anaweza Kubadili ID yake?

Punguza / Punguzeni Viherehere halafu sina Uhusiano nae Wowote ule na naitwa Mightier na siyo huyo Basha wenu ambaye nafurahi kuona Wengi wenu Kutwa tu ni Kumjadili Yeye na huenda hii inaonyesha kuwa alikuwa Akiwakaza ( Akiwakazeni ) vizuri kabisa.
 
Maajabu ya dunia, nimewaza nimefanya ku google kuona hii system ya kuwa na wasemaji iko nchi gani na ikaleta maendeleo hakuna ni huku kwetu mambo ya ajabu badala team kaandaliwa tuko kuuza sura. Kocha mkuu ndiye anatakiwa kuongea na press basi wasemaje wakakae nyuma ya pazia kuendesha social media au release statement basi acheni wenye taaluma wafanye kazi.
 
Popoma Mightier juzi kati ulikuja na thread ya kutuaminisha kua yanga alitoa 'mkwanja' mnono na angeshinda ile mechi dhidi ya Rivers.

Pia nyuma ukaja na hekaya kua wazee wa Simba wamecharuka na wamemmaimdi sana Haji Manara na ukatuambia hapa jukwaani kua siku za Haki Manara zilikua chache sana hapa duniani.

Siku si nyingi leo umekuja na hii thread,

Je huoni kama unajipunguzia uaminifu hapa jukwaani?
Siitwi Popoma bali naitwa Mightier sawa? Kinachonishangaza tu ni kwamba umeshaona kuwa Mimi sina Taarifa za Kweli na mpaka Unanipuuza sasa inakuwaje Unateseka na Mimi 24/7 hapa JamiiForums huku kila mahala ukiyarudia tu haya maneno yako?

au Mightier Kakutombea Mkeo na sasa una Chuki na Hasira nae? Hivi Threads za maana za Members wengine hapa huzioni? Kwanini usizisome hizo zao na Kutwa unahangaika Kuzisoma zangu ambaye hunipendi na huniamini?

Nikiwa nasema nyie ni Wapumbavu muwe mnanielewa sawa? Na nitaendelea Kuwadharau mpaka muwe na Akili. Pumbavu..!!
 
Siitwi Popoma bali naitwa Mightier sawa? Kinachonishangaza tu ni kwamba umeshaona kuwa Mimi sina Taarifa za Kweli na mpaka Unanipuuza sasa inakuwaje Unateseka na Mimi 24/7 hapa JamiiForums huku kila mahala ukiyarudia tu haya maneno yako?

au Mightier Kakutombea Mkeo na sasa una Chuki na Hasira nae? Hivi Threads za maana za Members wengine hapa huzioni? Kwanini usizisome hizo zao na Kutwa unahangaika Kuzisoma zangu ambaye hunipendi na huniamini?

Nikiwa nasema nyie ni Wapumbavu muwe mnanielewa sawa? Na nitaendelea Kuwadharau mpaka muwe na Akili. Pumbavu..!!
@moderator

Mtu anatukana matusi
 
Back
Top Bottom