Mifuko ya PSSSF na NSSF, walipeni Wastaafu Mafao yao, au hadi tuandamane?

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Jul 18, 2018
4,445
4,704
Mwezi Desemba 2018 wakati Mh.Rais alipokuwa anaongea na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi na kuagiza Kikokotoo cha zamani kiendelee kutumika mpaka mwaka 2023 , Aliagiza kuwa Wastaafu wote wawe wamelipwa Mafao yao ifikapo Mwezi Januari 2019.Lakini mpaka leo Mifuko hiyo bado haijaanza kuwalipa Wazee wetu Wastaafu.Tunaomba Wahusika wa Mifuko hiyo watekeleze Agizo la Mh.Rais au wanataka Tuandamane?Wakumbuke nao kuwa kuna siku watakuwa Wastaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi Desemba 2018 wakati Mh.Rais alipokuwa anaongea na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi na kuagiza Kikokotoo cha zamani kiendelee kutumika mpaka mwaka 2023 , Aliagiza kuwa Wastaafu wote wawe wamelipwa Mafao yao ifikapo Mwezi Januari 2019.Lakini mpaka leo Mifuko hiyo bado haijaanza kuwalipa Wazee wetu Wastaafu.Tunaomba Wahusika wa Mifuko hiyo watekeleze Agizo la Mh.Rais au wanataka Tuandamane?Wakumbuke nao kuwa kuna siku watakuwa Wastaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawataki stories kwenye mifuko yao wanataka maandishi period

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki hii wameanza kulipwa mafao wamewekewa 25% mkupuo badala ya 50% ukiwauliza wanadai watakuja kuwaongezea nyingine huko mbeleni.Barua za mchanganuo Wa malipo hazielezi kuwa kilicholipwa ni sehemu ya malipo sasa watakuwa na base ipi ya kudai. Kwanini wanalipa kwa kikokotoo ambacho Rais alikikataa? Hili jambo halijakaa vizuri bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hii mifuko ni kero kwa kweli, kwa wastaafu unakaa zaidi ya miezi mitatu bila kulipwa. Sijui ni lini nchi hii mstaafu ataheshimika, tunaomba mafao yetu yalipwe kwa 50 percent
 
Mwezi Desemba 2018 wakati Mh.Rais alipokuwa anaongea na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi na kuagiza Kikokotoo cha zamani kiendelee kutumika mpaka mwaka 2023 , Aliagiza kuwa Wastaafu wote wawe wamelipwa Mafao yao ifikapo Mwezi Januari 2019.Lakini mpaka leo Mifuko hiyo bado haijaanza kuwalipa Wazee wetu Wastaafu.Tunaomba Wahusika wa Mifuko hiyo watekeleze Agizo la Mh.Rais au wanataka Tuandamane?Wakumbuke nao kuwa kuna siku watakuwa Wastaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe unaelewa maana ya nchi kufirisika ?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom