TajiriMutoto
Member
- Jun 20, 2012
- 87
- 38
Kama upo makini utakuwa umeshaliona hili au japo kuliskia,
Kwa kifupi mifuko ya kijamii NSSF na PPF itatumika tena kuifadhili CCM kwenye uchaguzi wa 2015. Ndio maana tumeambiwa No mafao mpaka umri wa miaka 55. Serikali ya CCM inataka kucheza na akili zetu lakini kwa hili halivumiliki.
Hii ni serikali sio dhaifu tu bali pia ni wezi na wadhulumaji wa kubwa kwa wananchi wa kawaida kwa kile kidogo walichonacho.
Kwa kifupi mifuko ya kijamii NSSF na PPF itatumika tena kuifadhili CCM kwenye uchaguzi wa 2015. Ndio maana tumeambiwa No mafao mpaka umri wa miaka 55. Serikali ya CCM inataka kucheza na akili zetu lakini kwa hili halivumiliki.
Hii ni serikali sio dhaifu tu bali pia ni wezi na wadhulumaji wa kubwa kwa wananchi wa kawaida kwa kile kidogo walichonacho.