MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Kikwete hakuwa na nguvu, Genge la Mkapa lilimshinda nguvu kama ilivyotokea kwenye Katiba ya WariobaNae katukwaza Sana kutuletea waporipori kushika madaraka ndio madhara yake haya bora Mwinyi wa Zanzibar aje huku ana ahueni na exposure sio Hawa walioko sasa huku bara