Tetesi: Mifuko ya hifadhi ya jamii kwa Watumishi kubakizwa miwili

ila ni njia ya ku create emplyment mkuu tuangalie wana familia
Kwa taarifa zisizo rasmi ni kuwa Watakao kosa kazi kwenye hiyo Mifuko watapelekwa kwenye Halmashauri zenye Uhaba.,
Swali ni je , Watakwenda na Mishahara yao?
 
Watu hawajui tu. Kuajiri watu wengi kunafanya mzunguko wa pesa uwe mkubwa na kukuza uchumi. Serikali ikiiajiri watu wachache ni mbaya kwa uchumi tofauti na shirika binafsi.
73501.jpg
 
Serikal katika hili wasikwepe kiini cha tatizo kwa sababu mifuko imekuwa na hali mbali pspf kwa mfano wanaidai serikali zaid ya Trillion na kitu bado mifuko mingine madeni yote .hayajalipwa had Leo , ishu sio ufanisi tu ishu ni kuwa wataua ajira za watu hasa walio wapya na kuleta migogoro tu . serikali waache kukimbia tatizo
 
Back
Top Bottom