Erick nyabu
Member
- Jul 10, 2017
- 69
- 14
Itakuwa vzr
Kwa taarifa zisizo rasmi ni kuwa Watakao kosa kazi kwenye hiyo Mifuko watapelekwa kwenye Halmashauri zenye Uhaba.,ila ni njia ya ku create emplyment mkuu tuangalie wana familia
Watu hawajui tu. Kuajiri watu wengi kunafanya mzunguko wa pesa uwe mkubwa na kukuza uchumi. Serikali ikiiajiri watu wachache ni mbaya kwa uchumi tofauti na shirika binafsi.