Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

"Hakuna kama Samia "​


Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,

Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.

View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
KAZIIENDELEE
 
When the signing was done in February in Ngara, it was one of the last things JPM had seen. Hizi project sio za kisiasa kama kujenga madarasa kwa miezi mitatu. Watanzania lazima tujue tunataka na kufanya nini.
Mbona korosho zinadoda? Wale wamerekani walionunua zote inabidi tuwaambie kuna nyingine walisahau.
Daah
 

Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

"Hakuna kama Samia "​


Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,

Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.

View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tanzania nakupenda sana nchi yangu
 
Daaaah,

Am speechless, Samia anatufurahisha sana Watanzania,

Haya mambo haya yanatutia moyo sana,
Mimi sio CCM ila napendezwa sana na Rais Samia,

Mwandishi leo naomba kukupongeza nakufuatilia nimeridhika wewe ni msaada kwa nchi, Haya tungeyajulia wapi?
nakuelewaga sana mjomba
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 

Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

"Hakuna kama Samia "​


Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,

Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.

View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
JISOMEE HAPA TAARIFA KAMILI
============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 

Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

"Hakuna kama Samia "​


Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,

Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.

View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 

Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

"Hakuna kama Samia "​


Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,

Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.

View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom