Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
unaweza kuitaja japo kwa uchache kwa majina tuone kama ni miradi yenye tija kwa watanzania au ni kwa ajili ya kikundi flani tu cha wapiga mapambio.
 

Miezi sita ya Rais Samia uwekezaji wapaa kwa 400% wafikia $3bl toka $510M | Ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

=================================
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni sawa mara sita zaidi heko Rais Samia,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu,



....... Kazi iendelee ......


============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 

Miezi sita ya Rais Samia uwekezaji wapaa kwa 400% wafikia $3bl toka $510M | Ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

=================================
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni sawa mara sita zaidi heko Rais Samia,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu,



....... Kazi iendelee ......


============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 

Miezi sita ya Rais Samia uwekezaji wapaa kwa 400% wafikia $3bl toka $510M | Ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

=================================
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni sawa mara sita zaidi heko Rais Samia,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu,



....... Kazi iendelee ......


============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Data za ccm ni za kupika ndani ya miaka hii sita mmetudanganya vingi sana
Mara viwanda elfu sita, ajira million moja
Ilifikia kipindi mpaka data za nbs zikawa zinaandikwa asubuhi sahii na kubadilishwa jioni kufuatia maelekezo kutoka juu.
 
Toa upuuzi wako, huwezi fananisha huyu na mwamba JPM, huyu mama yenu mwisho 2025, aende kucheza na wajukuu.
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Data za ccm ni za kupika ndani ya miaka hii sita mmetudanganya vingi sana
Mara viwanda elfu sita, ajira million moja
Ilifikia kipindi mpaka data za nbs zikawa zinaandikwa asubuhi sahii na kubadilishwa jioni kufuatia maelekezo kutoka juu.
Unapikaje data?
 
Katika hiyo miradi 90% wanafanya ahadi tu hakuna kitu , JPM katika michache iliyokuwepo ya kweli ilikuwa mingi.

wakati huu wa COVID pesa itoke wapi? Uongo mtupu, hao wawekezaji kwanza angalia ati Egypt , lo!
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Kwanini unateseka nchi yako kupata maendeleo,

Wewe unatokea nchi gani?

Hii miradi itamwajiri hata ndg yako kama sio wewe

Kama huna ndugu hata jirani yako ataajiriwa pia,

Why can't you be positive to your country Mkuu,!!
😂😂😂
 

Miezi sita ya Rais Samia uwekezaji wapaa kwa 400% wafikia $3bl toka $510M | Ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho​

=================================
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni sawa mara sita zaidi heko Rais Samia,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu,



....... Kazi iendelee ......


============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Naogopa kukimbilia kusema kila kitu kimekaa sawa. Ni mapema mno. Lazima kazi ifanyike kweli kweli ili haya yanayoonyesha dalili, yaweze kutokea.
Nimesema tuyape muda sababu kina sisi tuna tabia ya kulewa sifa na kusahau kazi. Ndio, tuyaoe haya yote muda.
Mkuu kila kukicha mambo ni moto kama hivi 👇

Screenshot_20211029-081625.png


Screenshot_20211026-201022.png


Screenshot_20211024-171703.png
 
Back
Top Bottom