Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hata mimi nimeliona. Cha kuchekesha ni kwamba die hard supporters wa Magufuli wanateseka sana wakiona Mama anafanya vizuri zaidi ya mtangulizi wake!Utaumia sana, JPM yupo kuzimu, Mama ndio habari ya mujini mpaka 2030 inshallah.
Usijitafutie maradhi ya moyo kwa kumchukia the choosen one, ukisikia chaguo la Mungu ndip mtu kama Samia.
Hakugombea Urais ila Mungu amependezwa naye.
Toka niambiwe nchi imefika uchumi wa kati kumbe porojo,nimekua mgumu kuamini kiumbe chochote kinaitwa mwanasiasa na data zao za kupika toka wedibenki! Waswahili tuna kipimo chetu Cha kupima uchumi ambacho Huwa hakiongopi,mfuko wa shati! Je watoto wanaenda choo? Bati inahimilika? nk mengine mbwembwe tu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hilo hata mimi nimeliona. Cha kuchekesha ni kwamba die hard supporters wa Magufuli wanateseka sana wakiona Mama anafanya vizuri zaidi ya mtangulizi Samia
Fact, waitu wamejiachia mkuu,Watu hawana hofu ya pesa zao kuzuiliwa ktk Mabenk,lazima uwekezaji uongezeke
Tofautisha kusifia na kufafanua,Hii hali ya kila mtawala kuwa na wajinga wake wanaomsifia inaondoa uhalisia wa mambo.
Kama taifa tulishapotea mahali. ingewekwa sheria ya kuzuia haya mambo ya kijinga
dah! hicho kimombo umeua anyway mimi naendelea kuwa mwanafunzi mzuri wa masomo ya muda kuna mengi nimeshaelewa na mengi naendelea kijifunza kwa sasa siwezi kusema miezi sita ya Raisi Mwenye jinsia ya kike ni bora kuliko miaka 6 ya Raisi Jiwe Kwelikweli kwa hizi ripoti za blah blah ambazo zinawasilishwa very technically kama usipokuwa makini kuzielewa utaicheza hii ngoma hadi ubwage manyangaKwanini unateseka nchi yako kupata maendeleo,
Wewe unatokea nchi gani?
Hii miradi itamwajiri hata ndg yako kama sio wewe
Kama huna ndugu hata jirani yako ataajiriwa pia,
Why can't you positive to your country?
SidhaniMkuu nchi yako inakwenda vizuri amini,
Tuendelee kufanya kazi kwa bidii
Amini tu, Tuko vizuri Sana
Tunataka ma Rais wa hivi sio wale wachunga ng'ombe..
Miaka 5 iliyopita tulipigwa Sana.
Heko Madam President,legacy hailazimishwi kwa ndita.
Tunamshukuru na kumstahi kwa kipindi kile ilibidi afanye vile ila Sasa naye zaidi ya propaganda na vitisho na kusaidia watu kwa kutumia rasilimali zetu bila faida yoyote kwa Nchi ndio kafanya nini hasa? Tunamshukuru kwa kuunganisha nchi kwa kiswahili.Nyerere naye alichunga ng'ombe na mbuzi naye vipi??!🤣
Mkoa ulioko wewe. Kuna project gani inaendelea ambayo imeanza? Hizi zilizosimama 2017?Wewe uko mkoa gani?
Projects ziko mingi Sana za Govt na private sector.Mkoa ulioko wewe. Kuna project gani inaendelea ambayo imeanza? Hizi zilizosimama 2017?
Projects ziko mingi Sana za Govt na private sector.
Nilishasema humu kwamba haiwezi pita siku 3 hujasikia uwekezaji mpya ..
Mama ana nyota kama yote kama hivi yaani 👇
View attachment 1963013
View attachment 1963014
View attachment 1963015
View attachment 1963016
View attachment 1963017
View attachment 1963018
View attachment 1963019
View attachment 1963020
View attachment 1963021
View attachment 1963022
Wewe unaona ni nini boss? Fine kwa kukubali kuwa mda utatoa majibu stahiki.Kwahiyo haya ndio mafanikio ya awamu ya sasa? Homgereni sana. Lakini ukweli unajitenga na uongo. Kila kitu tukipe muda
Naogopa kukimbilia kusema kila kitu kimekaa sawa. Ni mapema mno. Lazima kazi ifanyike kweli kweli ili haya yanayoonyesha dalili, yaweze kutokea.Wewe unaona ni nini boss? Fine kwa kukubali kuwa mda utatoa majibu stahiki.
Wee malayaaa kisiasa kuwa makin na upuuz wakoKwanini unateseka nchi yako kupata maendeleo,
Wewe unatokea nchi gani?
Hii miradi itamwajiri hata ndg yako kama sio wewe
Kama huna ndugu hata jirani yako ataajiriwa pia,
Why can't you be positive to your country Mkuu,!!
Weee hii basi mwisho 2025 baada ya hapo tunaweka dereba mwingine kijana. Bi mkubwa atakuwa amekuwa Mzee sasaUtaumia sana, JPM yupo kuzimu, Mama ndio habari ya mujini mpaka 2030 inshallah.
Usijitafutie maradhi ya moyo kwa kumchukia the choosen one, ukisikia chaguo la Mungu ndip mtu kama Samia.
Hakugombea Urais ila Mungu amependezwa naye.