Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Unajua nini?!

Tanzania nchi ya ajabu sana,

Mtu anakuja CCM kisa mtu fulani yupo huko,

Siku huyo mtu asipokuwepo CCM anaanza kukipinga chama chake,

Huu ni Ushamba uliopitiliza,shame on you,

Mkt wa chama anafanya juhudi sisi CCM ndio tunakuwa wakwanza kumshika shati, Haipendezi,

Hiki chama ni chetu sote,

Kikianguka tutaanguka wote,

Why can't we see namna Mkt anapambana kuipaisha nchi na chama Chetu?

Basi Tuendelee kuiunga mkono CCM Kama Mama hatumtaki,


Samia is in another level tukubali tukatae na mpanga wa yote ni Mungu sisi ni nani tupingane na Mungu wetu?

Tuache ushamba, better You keep quiet kuliko kupotosha watu,
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
 
Tulio shauriwa kuja Burundi tunaweza kurudi nchini?
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Mkuu umetisha tuendelee kupigana na kumpigania mama.


😍😍😍😍
 
Tanzania juu,ndani ya miezi mitano ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
_________________________________________
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho mwaka jana jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi mitano Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa 400%, yaani mara sita zaidi ,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,

Nasema ......
......... Kazi iendelee .........
________________________________

Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Kwamba data zimetoka kwa Msigwa
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Hongera sana Rais Samia we love you mama,
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Daah, Mama kweli anaupiga mwingi aise
 
Nchi inayoongoza kwa mazingira mazuri ya uwekezaji ni USA na ndio inayoongozakwa uchumi bora,zamani ukionekana unapesa kwenye akaunt waziblock sasa nani atamimina pesa TZ ili kuongeza ajira na mzunguko wapesa,MAMA atakidhulma akaunt zote kazifungua,na auna hofu ya kuingiza mittaji toka nje.
 
Watanzani wenzangu,ndani ya miezi sita ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni sawa na mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
=================================
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi sita Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni sawa mara sita zaidi heko Rais Samia,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu,



....... Kazi iendelee ......


============================


Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Hii hali ya kila mtawala kuwa na wajinga wake wanaomsifia inaondoa uhalisia wa mambo.
Kama taifa tulishapotea mahali. ingewekwa sheria ya kuzuia haya mambo ya kijinga
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom