Miezi sita Sasa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri

Kaka nilikuwaga na tatizo kama lakwako .... Nilitumia dawa tofauti tofauti za thamani zaidi ya 80,000/= lakin ... Nachokumbuka dawa kama 3 za mwishoni kabisa zitakusaidiaa ... Ngoja niingie pharmacy nikupigie picha kabisa ..

.moja inaitwa flu ni vidonge 7 vinauzwa 1000 kwahiyo utalipia 7000 unachukua unameza kidonge kimoja kimoja ndani ya siku 7

Mbili .. inaitwa Citrizine" hii dawa ni ya allage " ( hivi vidonge vidogo Sana ... Unameza ( hapa muulize doctor atakusaidia) unaweza kumeza kutwa mara 2

Tatu .. hii ni ya kupakaa ... Inaitwa gentrozome siku hizi inauzwa 4000

Ushauri wangu, achana kabisa na boxer unazotumia Kwa sasa .... Nunua zingine Kaka .... Pia .... Utumiaji wa mafuta ya mgando ... Hasa mafuta ya watoto huwa hayana chemical Sana .... Mimi binafsi nilikuwa natumia ( baby care,kopo jeupe)

Kaka zingatia hizo dawa mbili za mwanzoni japo zote zina umuhimu wake .... Pole Sana Kaka ... Nakukaribisha Pm kwa maelekezo zaidi ukihitaji
IMG_20201202_170938.jpg
IMG_20201202_170933.jpg
IMG_20201202_170924.jpg
 
Pole sana mkuu, najua unapata shida sana!
Ushauri wangu hautofautiana sana na bwana "asubuhi sana" hapo juu.
Kwanza, hilo tatizo lako mara nyingi inaweza kuwa 'allergy' na kitu fulani kwa mfano, material ya hiyo boxer yako, mazingira kama hali ya usafi, unyevuunyevu, joto, maji unayooga n.k. Lakini pia inaweza sababishwa na 'fungus'. But kulingana na maelezo yako umeshatumia antifungal kama Fluconazole bila nafuu yoyote, so fungus is less likely.
Hivyo tatizo lako, is most likely to be 'dermatitis' or "LICHEN SIMPLEX CHRONICUS".
Hivyo mm nakushauri utumie;

1) Topical corticosteroids mfano, "Betamethasone" ointment/cream upake asubuhi na jioni kwa atleast siku 14.

2) Antihistamine e.g. Cetirizine, Loratadine, Piriton etc. Kwa mfano unaweza tumia "Cetirizine" kwa mda wa siku 10 ili kupunguza muwasho

3) Pia usisahau suala la usafi na jitahidi sana ' usijikune' hizo sehemu coz kujikuna unazidi kuongeza tatizo ingawa ww unaweza ona inakupa nafuu

NB: Ni vizuri pia ukamuona daktari wa magonjwa ya ngozi 'dermatologist'
 
Habari za leo ndugu zangu,
Ni miezi sita sasa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri na wakati mwingine ngozi inachubuka kabisa.. Kuna wakati pia eneo zima linakuwa na joto sana na maumivu kiasi.

Nimeshafika kwa wataalam kama mara tatu na kupatiwa dawa ambazo zinaonekana kutonisaidia.
View attachment 1639212
Hii ni dawa ya kwanza ambayo ni sindano nilizochomwa kwenye mishipa tano kwa siku tano wakisema kuwa ni fangasi itakuwa kwenye damu lakini haikusaidia

Nilienda hospitali nikapimwa kipimo cha VDRL na kukuta negative lakini nikapewa dawa hizi
View attachment 1639215
View attachment 1639216
Nimezitumia kwa wiki moja na nimemaliza dozi lakini bado tatizo liko pale pale na hali ni kama hii mnayoiona Samahani kwa picha hizi lakini lengo ni kupata msaada wa tatizo hili linaloninyima raha
View attachment 1639217
View attachment 1639218
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwa wataalam ili niweze kutatua tatizo hili

Asanteni naomba kuwasilisha
Utakuwa ulilala na mapaka ya bar (wanawake wachafu/majinamizi ya talaka/machangu) bila kinga. Nenda kaonane na madaktari.
 
Niliwahi kupata ugonjwa kama huo (sina uhakika 100% kama ndo huo) ila n tofaut na huo wa mtoa mada.

Kwenye kichwa cha mboo kulitengeneza kidonda na alifika wakati ad nkawa nabandua lile ganda la juu lkn nlkuwa sisikii maumivu wakati wa kulibandua ila lilikuwa linanipa muwasho flan hv amazing.

Ilikuwa n kitambo kdg nadhani nlkuwa na age ya 8 hv, nkapelekwa hospital ya dr. Mohamed babu (Arusha) nikapewa dawa na nkapona kabisa.

Kwa maelezo ya daktari, chanzo cha ugonjwa ilikuwa n uchafu eneo langu la chumban
 
Tumia alovela kila siku paka hiyo sehemu siku saba tu umepona,narudia kata kani la alovela upake hapo
 
Pole sana hiyo ni Fungus tafutq dawa inaitwaa TERBINAFINE CREAM ITAKUSAIDIA SANA...!!
Tatizo lako ni PUMBU JERO kwa wale tuliopitia boarding school wameelewa inasababishwa na uchafu pamoja na kubadilisha mazingira (Sehemu za baridi kuja zenye joto i.e. Mbeya kuja Dar).
Dawa ndo io apo Terbinafine Cream mi mwenyewe nishawahi kuitumia mkuu ni dawa moja matata sana!
Ikikosekana hiyoo jaribu kutumia mafuta ya nazi yale ya chupa ya kijani.
 
Habari za leo ndugu zangu,
Ni miezi sita sasa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri na wakati mwingine ngozi inachubuka kabisa.. Kuna wakati pia eneo zima linakuwa na joto sana na maumivu kiasi.

Nimeshafika kwa wataalam kama mara tatu na kupatiwa dawa ambazo zinaonekana kutonisaidia.
View attachment 1639212
Hii ni dawa ya kwanza ambayo ni sindano nilizochomwa kwenye mishipa tano kwa siku tano wakisema kuwa ni fangasi itakuwa kwenye damu lakini haikusaidia

Nilienda hospitali nikapimwa kipimo cha VDRL na kukuta negative lakini nikapewa dawa hizi
View attachment 1639215
View attachment 1639216
Nimezitumia kwa wiki moja na nimemaliza dozi lakini bado tatizo liko pale pale na hali ni kama hii mnayoiona Samahani kwa picha hizi lakini lengo ni kupata msaada wa tatizo hili linaloninyima raha
View attachment 1639217
View attachment 1639218
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwa wataalam ili niweze kutatua tatizo hili

Asanteni naomba kuwasilisha
Polemkuu hapo naona umetumia dawa karibu zote. Itakuwa tatizo la scabies. Tafuta sabuni ya tetmosol utumie au tafuta lotion ya benzoyl benzoate(BBE) au chukua zote. Hazipiti 5000. Baada ya wiki utaona matokeo.
 
Una Scabie
Tiba
1. Nunua Scaboma Cream
2. Ogea Tetmosol

Utaona tofauti kuanzia masaa 24
Hata Mimi nimehangaika na Tiba tofautitofauti toka October . Kwa Sasa Niko poa
 
Tatizo kama hili lilinipata mwaka jana nilipokuwa Morogoro. Nilitumia cream kwa mwezi mzima lakini sikuona hafueni, baadaye nilipopata likizo nilirudi Tukuyu mbeya na kila siku nilikuwa naoga maji ya baridi sana na kupaka cream. Baada ya wiki tatu hivi tatizo lilipotea kabisa. Nahisi hata hali ya ubaridi inaweza kusaidia

Tumia maji ya baridi sana kusafisha hizo sehemu halafu upake mafuta ya nazi "sio lotion lakini". Na utumie cream ya kuondoa fungus
 
Wakati tunasubiria wataalam waje, usafi kwa sasa ni muhimu sana. Mie sio daktari ila kwa hiyo hali hakikisha kila ukioga unabadili boxer. Na ukizifua zikauke vizuri kwa jua au ukiweza nyosha pasi.

Nashauri hivyo ili isijeikawa unatumia dawa na kurudia nguo yenye vimelea au kusaidia ugonjwa uendelee kushambulia.

Narudia tena, pole sana Kaka.
Na ikiwezekana asivae boxer kabisa mpaka atakapopona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom