Miezi minne sasa Jeshi la Uhamiaji, halijatoa Mshahara wala Posho kwa Askari wake

top kibobo

JF-Expert Member
Feb 11, 2013
203
107
Yapata miezi mine (04) sasa tangu Askari wapya wa Jeshi la Uhamiaji wahitimumafunzo yao katika chuo cha Polisi Moshi (CCP) na kupata ajira hyo tarehe 24/06/2016.

Lakini cha ajabu hawajapokea malipo yoyote yale ya Posho na Mshahara kwa muda huo wote wa miezi minne, mbaya zaidi wameambiwa atakayesumbua atapewa likizo na kamishna wa fedha aende kwao mpaka atakapolipwa ndo arudi kazin.

WANAJAMII TUNAWASAIDIAJE VIJANA HAWA WAMEKUWA OMBAOMBA XAXA.
 
MSIJALI SERIKALI HII SIKIVU ITAWASKIAA NA KULIFANYIA KAZI TATIZO LENU

#HAPAKAZI#NGOJA TUNA MALIZIA KUJENGA VIWANDA

OVA
 
Yapata miezi mine (04) sasa tangu Askari wapya wa Jeshi la Uhamiaji wahitimumafunzo yao katika chuo cha Polisi Moshi (CCP) na kupata ajira hyo tarehe 24/06/2016. Lakini cha ajabu hawajapokea malipo yoyote yale ya Posho na Mshahara kwa muda huo wote wa miezi minne, mbaya zaidi wameambiwa atakayesumbua atapewa likizo na kamishna wa fedha aende kwao mpaka atakapolipwa ndo arudi kazin. WANAJAMII TUNAWASAIDIAJE VIJANA HAWA WAMEKUWA OMBAOMBA XAXA.
Hakuna Askari wa jeshi la Uhamiaji mkuuu......Kuna maafisa uhamiaji...kupitia CCP hakuwafanyi kuwa askari....
 
Haaaaah polisi siwezi waonea huruma wacha waisome namba.....

Wakipata kazi kuja kusumbua raia tena kama hao wa uhamiaji passport yangu ya kwanza walinipa kwa zaidi ya laki 200,000/= sina hamu nao kabisa.........

Wacha wasugue benchi....
 
huwezi kuwa unatafuta hela ujenge reli,huwezi kuwa unatafuta hela umlishe mfalme wa morocco..
halafu mwengine anakudrive drive gyyym gyyyym
kana kwamba fedha unazotafuta ni kwa ajili yake tu..
nadhani mmenielewa !
 
Nyinyi mwanzo si mlitishia kuongea na vyombo vya habari?
Mara mkaja na singo ya maandamano????????????????????

Sasa mnalalamikia nyuma ya keyboard...mnakera bana hebu chukueni hatua hata ya kujinyonga
Hapo ndo sirikali itawaelewa
 
Kinachonishangaza ni kwamba wanaolalamika ni vijana wa Ufipa ambao wanafanya kazi kwenye kijiwe chao pale
 
Haaaaah polisi siwezi waonea huruma wacha waisome namba.....

Wakipata kazi kuja kusumbua raia tena kama hao wa uhamiaji passport yangu ya kwanza walinipa kwa zaidi ya laki 200,000/= sina hamu nao kabisa.........

Wacha wasugue benchi....
Tech walikuhurumia, mm walinitoza laki 6 bila huruma
 
Serikali ipo kwenye mchakato wa kununua ndege mbili ,sasa nyie...ohoooo endeleeni kumjaribu Nanihino kama hajawatumbua
 
Kinachonishangaza ni kwamba wanaolalamika ni vijana wa Ufipa ambao wanafanya kazi kwenye kijiwe chao pale

wewe hivi huoni hali mtaani?

kwa nini watanzania mnapenda tuwe na matusi?

Kama source ya uhai ipo, ikuhukumu hata leo

huutendei haki uhai wako,

Sorry
 
Back
Top Bottom