Miezi 8 ya utawala, mbona hali haitengemai?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,753
71,126
Tunaambiwa makusanyo ni makubwa, mianya ya wizi imedhibitiwa ikiwa na utoroshaji wa fedha nje. Lakini mbona thamani ya fedha yetu haiboreki zaidi ya kudidimia ingawa sio kwa kasi lakini ni polepole.
Tarehe 10/11/2015
ImageUploadedByJamiiForums1468482483.962983.jpg

Leo hii tarehe 14/7/2016
ImageUploadedByJamiiForums1468482539.079917.jpg
 
Tunaambiwa makusanyo ni makubwa, mianya ya wizi imedhibitiwa ikiwa na utoroshaji wa fedha nje. Lakini mbona thamani ya fedha yetu haiboreki zaidi ya kudidimia ingawa sio kwa kasi lakini ni polepole.
Tarehe 10/11/2015
View attachment 366171
Leo hii tarehe 14/7/2016
View attachment 366173

Fanya kazi ndio hali itatengemaa hakuna jinsi. Kuzidi kusubiri kwa muujiza utazidi kuumia tu. Simple
 
Subira yavuta heri.....

Ila kiukweli country side hali ndo mbaya zaidi..........Tutafika ila kwa shida....miaka 4 kufanya mabadiliko ni kazi kidogo...ila tutembelee imani tu

Nakupenda Tanzania....Napenda watu wake........
 
Fanya kazi ndio hali itatengemaa hakuna jinsi. Kuzidi kusubiri kwa muujiza utazidi kuumia tu. Simple
Mapato kuongezeka up to trilion 1+ si ndio dalili kuwa kazi inafanyika na kodi inakusanywa? Sasa mbona hakuna juhudi za stability katika fedha yetu?
 
Mapato kuongezeka up to trilion 1+ si ndio dalili kuwa kazi inafanyika na kodi inakusanywa? Sasa mbona hakuna juhudi za stability katika fedha yetu?
Ukiongelea suala la stability ya pesa yetu stability tangu aingie JPM kuna kueleweka. Ungekuwa mtumiaji wa pesa za nje ungelijua hili na husingefananisha kipindi cha nyuma na sasa. Kwa taarifa yako angalia kwa mwaka wote 2014-15 July tu pesa ilikuwaje awali na ilafika wapi ndio utapata picha na kujua pesa inayodondoka inakuwaje. Ila kwa sasa shukuru mafanikio unayoyaona. Kuna hatua kubwa sana.
 
Back
Top Bottom