Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,180
- 7,758
Kufa na wewe kama alivyokufa huyo Magufuli, siyo kuumia umia roho kizembe hapaKweli huwezi kupendwa na wote Roho huwa inaniuma nikiona huyo baba anatukanwa jamani
Kufa na wewe kama alivyokufa huyo Magufuli, siyo kuumia umia roho kizembe hapaKweli huwezi kupendwa na wote Roho huwa inaniuma nikiona huyo baba anatukanwa jamani
Siyo kweli, ametumia muda wake vizuri kutukumbusha shujaa na mzalendo wa kweli wa Tanzania. JPM ameenda lakini kazi zake zimebaki na hakuna wa kuzifuta. Misimamo yake mioyoni mwa watanzania itadumu milele. Kwa mfano hofu bandia ya corona huwezi kuipandikiza kwa mtanzania milele. Waliojaribu wameshindwa kwa aibu na fedheha!!Unapoteza mda wako tu
Wewe ndiwe wa kupewa pole!!Pole Sana mjane,
Hata Shule ulienda kupoteza muda tu,Nafuu hata ungechunga mbuzi
Babuyo Alisharudi??Miezi nani tuu utaendelea kuhesabu harudi tena fanya yako maisha yamekupiga unamkumbuka mwendazake
Embu wataje kwa majina hao mitume?Wamekufa Mitume wa Mwenyezi Mungu na ndiyo vipenzi wa Mwenyezi Mungu, sembuse nyerere na magufuli!!!!
Mnakufuru sana
Jitahidi na wewe uwe miongoni mwa hawa wanaokufa na kuacha wakiandikwa kila kona we pimbi
Wewe mpuuzi, babu yako alikufa kwa sababu ya kunyonga watu?Unakumbukwa kwa mazuri na co mabaya, utamkumbukaje mtu alieuwa watu n.k!!! Japo kuna mazuri magu alifanya lakini kuna mabaya ambayo hayafai kuigwa.
Halaf unasema nijitaidi niwe miongoni mwa hao viongozi wanaokufa na kuacha wakiandikwa kila kona 😂😂niache kutamani kuwa miongoni mwa watu wema watakaoingia peponi!!!!!
Hebu fanya research kama utapata unyanyasaji au mauwaji chini ya viongozi hawa.
1 mwinyi
2 kikwete
3 mama samia
Wewe mpuuzi, babu yako alikufa kwa sababu ya kunyonga watu?