Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Kama ilivyo Katika michezo mingine ya Maigizo Kama vile Film, Pia mchezo huu wa Mieleka ni Maigizo so kweli unacho ona hapo ni 100% ukweli hapana.
Michezo hiyo hua imeandaliwa kua pambano hili litahusu ushindi wa mtu flani na hapo litakua controlled na referees.
Je, unajiuliza kwa nini mtu flani ashinde na Mwingine kushindwa? Hapo hupangwa Mara nyingi washindi wa mpambano hua ni watu wanao kubalika/wenye mashabiki wengi, hapa ndo utawapata Watu Kama akina John Cena, The Undertaker, Yes Yes na wengine.
Ila si ajabu mwanamieleka mchanga kumpiga mzoefu hapo Ni kuwashangaza mashabiki. Ila wanamieleka hua Ni well trained kufanya hivyo ndo maana wana perform vizuri.
Japo kuna Baadhi ya matukio ni real ila hayo hua yanaandaliwa kuwa wakati flani tukio lipi litokee na hua kuna Hadi madirector kwenye mchezo hua ndo maana hua wanatoa Warning kwa kusema DON'T TRY THIS AT HOME
Michezo hiyo hua imeandaliwa kua pambano hili litahusu ushindi wa mtu flani na hapo litakua controlled na referees.
Je, unajiuliza kwa nini mtu flani ashinde na Mwingine kushindwa? Hapo hupangwa Mara nyingi washindi wa mpambano hua ni watu wanao kubalika/wenye mashabiki wengi, hapa ndo utawapata Watu Kama akina John Cena, The Undertaker, Yes Yes na wengine.
Ila si ajabu mwanamieleka mchanga kumpiga mzoefu hapo Ni kuwashangaza mashabiki. Ila wanamieleka hua Ni well trained kufanya hivyo ndo maana wana perform vizuri.
Japo kuna Baadhi ya matukio ni real ila hayo hua yanaandaliwa kuwa wakati flani tukio lipi litokee na hua kuna Hadi madirector kwenye mchezo hua ndo maana hua wanatoa Warning kwa kusema DON'T TRY THIS AT HOME