Mie mgeni sijui kitu humu ndani

Benominja

New Member
Sep 1, 2011
4
1
Jaman mie mgeni nmependa sana jamii forum lakn i dont knw how thing are carried out here jaman can some one help me!!!!!
 
Karibu sana JF.hapa bana ni sehemu ya kutoa madukuduku yote uliyonao moyoni yawe ya kisiasa kiuchumi kimaisha vyovyote vile. Ukiwa hapa utapata fursa ya kuchangia mada mbalimbali. Lakini pia ukiwa hapa ukae kwa adabu na uheshimu wenzako. Pitia Jamii Forums Rule upate mwanga zaidi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom