Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Karibu sana mkuuHyo ni AVATAR tu mkuu,
But nahtaji ukaribisho wako mkuu
Karibu sana mkuuHyo ni AVATAR tu mkuu,
But nahtaji ukaribisho wako mkuu
Duh...huu ni mkwara ni mzitoKaribu sana, huku ni sawa na Gambosh ukileta za kuleta unabutuliwa na yeyote yule....
Ukiwa msoma ramani kabla ya kuanza safari yako basi hutogombana na mtu humu.
Kila la kheri na safari njema.
Mie na juli kana kama bibi kizee kigagula ambaye ni mbishi wa kuzeeka maana nakula bata na.mahaba kwangu siwezi kuwa acha japo nimezeeka. Nakesha nakula ujana kama popo woooow woooh.
Kasinde.
Mmh hilo simoHilo la kuhusu dem nipe ramani napataje humu? Naona watu wapo kmya
Hii imekaa vizuriAcha nipambane kivyangu
karibuMimi ni mgeni. Hodi!
Najitambulisha kwenu waungana nipokeeni. Nimejiunga kwa malengo mengi tu, ikiwa ni pamoja na kukutana na watu serious ili kama Mungu atatupa kibali basi nipate mke humu.
Nafurahi kujiunga nanyi naomba maelekezo ya start-up kama kuna utaratibu wowote na ethical issues pia nijulishwe.
Mawasiliano: ssekenke@gmail.com
Yenye avator matata
Hata mimi nimeona Sakayo!!!Hiyo sauti sio ngeni
Mkuu avatar gani zinatakiwa na zipi hazitakiwi?Ah we pita pita kona zote....utakapopapenda weka kambi....
Umeolewa hujaolewa hyo sio biashara yetu....afu badirisha avatar yako.....hawaruhusu zaina hyo humu.....utapigwa Ban
Waziri wa serikali huyo duuh