Akitokea Tumbaku ya Mororgoro na kujiunga na Dar Young African miaka ya 1974 na kuendelea mchezaji huyu nguli Juma Matokeyo semeni mtamlinganisha na mchezaji gani wa sasa duniani watu ambao mlimuona? Leogigar Tenga sema utamfananisha na nani anaecheza sasa hivi hapa nchini na mchezaji huyu Juma Matokeyo AKA midfield mayesro?. Ni mchezaji gani wa sasa hivi atayefanya dakika 90 z mchezo ziwe kama dakika 40?. Hivi Haji Manala wa Simba angefanikiwa kumwona Juma Matokeyo akicheza angekuwa na kiwewe kiasi gani na msemo wake huo wa mpira biliani?
Mungu amweke mahali pema Juma Matokeyo Mid field mayestro.
Mungu amweke mahali pema Juma Matokeyo Mid field mayestro.