Time Bandit
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 615
- 321
Serikali ya Marekani huwa haina utani ktk ishu nzima ya usalama wake na vitega uchumi vyake.Hivyo imewekeza sana katika teknologia za ulinzi na kuvita kupitia makampuni kama Lockheed Martins Boeng na mengine....Zifuatazo ni picha zinazoonyesha Midege ya kivita inayotumia teknolojia ya hali ya juu!
1.B-52 Bomber Stratofotres....
One of the very effective fighter jet.....tani 220...Imefanya kazi tangu 1952....ni veteran ktk vita.
2.F-117 Nighthawk Stealth Fighter
Sura tu ni out of this world.....Moja kati ya sifa zake ni kwamba ni nyeusi kwa rangi na inatumika zaidi usiku na inatumia"Stealth Technology" which means rada wala infrared signature si rahisi ku-ditect kitu hapo....mtashangaa tu mnapokea kichapo.Wenyewew wanaaiita "ground strike aircraft"Which means haihitaji kupaa juu sana kuanza kutoa kichapo.
3.Th B1b Lencer
The fastest Bomber in American Service...na inaweza kusafiri kutoka "base" kwenda bara lingine bila kijaza mafuta(re-fueling)Ina rada absorbing materials kitu kinachoifanya isishambuliwe kirahisi.Inatumia Swing Wing technology....Even Swing Wings the Lancer uses play an important part in the flying of the plane. The forward sweep is used for take off, landing and fuel efficient cruising. But when speed is needed the wings sweep back their by reducing drag and airframe stress.
4.F-22 Raptor
The F-22 Raptor air superiority fighter is almost invisible to radars. This aircraft carries a powerful array of weaponry. It is the most advanced and most expensive production fighter aircraft to date. Many of sensors and avionics of this plane remain classified. Engines of the raptor allow the aircraft to supercruise over long ranges, while thrust-vectoring nozzles, combined with a triplex fly-by-wire flight control system, make it exceptionally maneuverable.
5.F-15 C/D Eagle
1.B-52 Bomber Stratofotres....
One of the very effective fighter jet.....tani 220...Imefanya kazi tangu 1952....ni veteran ktk vita.
2.F-117 Nighthawk Stealth Fighter
Sura tu ni out of this world.....Moja kati ya sifa zake ni kwamba ni nyeusi kwa rangi na inatumika zaidi usiku na inatumia"Stealth Technology" which means rada wala infrared signature si rahisi ku-ditect kitu hapo....mtashangaa tu mnapokea kichapo.Wenyewew wanaaiita "ground strike aircraft"Which means haihitaji kupaa juu sana kuanza kutoa kichapo.
3.Th B1b Lencer
The fastest Bomber in American Service...na inaweza kusafiri kutoka "base" kwenda bara lingine bila kijaza mafuta(re-fueling)Ina rada absorbing materials kitu kinachoifanya isishambuliwe kirahisi.Inatumia Swing Wing technology....Even Swing Wings the Lancer uses play an important part in the flying of the plane. The forward sweep is used for take off, landing and fuel efficient cruising. But when speed is needed the wings sweep back their by reducing drag and airframe stress.
4.F-22 Raptor
The F-22 Raptor air superiority fighter is almost invisible to radars. This aircraft carries a powerful array of weaponry. It is the most advanced and most expensive production fighter aircraft to date. Many of sensors and avionics of this plane remain classified. Engines of the raptor allow the aircraft to supercruise over long ranges, while thrust-vectoring nozzles, combined with a triplex fly-by-wire flight control system, make it exceptionally maneuverable.
5.F-15 C/D Eagle
- Maximum speed:
- High altitude: Mach 2.5+ (1,650+ mph, 2,660+ km/h)
- Low altitude: Mach 1.2 (900 mph, 1,450 km/h)
- Combat radius: 1,061 nmi (1,222 mi, 1,967 km) for interdiction mission
- Ferry range: 3,450 mi (3,000 nmi, 5,550 km) with conformal fuel tanks and three external fuel tanks
- Service ceiling: 65,000 ft (20,000 m)
- Rate of climb: >50,000 ft/min (254 m/s)
- Wing loading: 73.1 lb/ft² (358 kg/m²)
- Thrust/weight: 1.12 (-220), 1.30 (-229)6
- .DRONES
- In the mordern art of War....hii ndo habari ya mujini....Unmanned Aircrafts.