Middle East Respiratory Syndrome

dudus

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
22,124
49,380
FaizaFoxy,

Middle East Respiratory Syndrome ni ugonjwa hatari ambao binadamu huupata kutoka kwa wanyama jamii ya ngamia wanaopatikana kwa wingi maeneo ya Masharaki ya Kati.

Ugonjwa huu husababishwa na virusi jamii sawa na "coronaviruses" jamii ambayo husababisha pia ugonjwa wa SARS na pia janga linaloendelea huko Uchina na kwingineko duniani ugonjwa ambao Shirika la Afya Duniani limeupatia jina rasmi la COVID-19.

====

A new virus that has killed 81 people in China can spread before symptoms show up, Chinese health authorities said, adding that its incubation period can range from one to 14 days.

Here are more facts on the virus, called 2019-nCoV, which can be transmitted among humans and belongs to the same coronavirus family as Severe Acute Respiratory Syndrome (SARS).

- Unlike SARS, which also originated in China, the new virus can spread during the incubation period, National Health Commission Minister Ma Xiaowei said on Sunday. SARS killed nearly 800 people globally in 2002 and 2003.
- The current outbreak was spreading "relatively fast" and "now entering a more severe and complicated period", Ma added, saying that authorities had limited knowledge of the virus and were unclear about the risks posed by its mutations.

- Last Thursday, the World Health Organization called the outbreak an emergency for China, but stopped short of designating it a global emergency.

- Coronavirus infections have a wide range of symptoms, including fever, coughing, shortness of breath and breathing difficulties. Severe cases can cause pneumonia, severe acute respiratory syndrome, kidney failure and death.
- Many of those who died had pre-existing medical conditions or were elderly, authorities have said.

- Like the viruses that cause SARS and Middle East Respiratory Syndrome (MERS), the new one is an RNA virus, with RNA as its genetic material, rather than DNA. That means the virus blends with its host's DNA, and can mutate rapidly.
- The total number of confirmed cases in China rose about 30% to 2,744, about half of them in the central province of Hubei, whose capital is Wuhan.

- Cases have also been reported in Hong Kong, Macau, Taiwan, Thailand and the United States, as well as Australia, Canada, France, Japan, Malaysia, Nepal, Singapore, South Korea and Vietnam. No deaths have been reported outside China.

- The virus is believed to have originated late last year in a food market in Wuhan that was illegally selling wildlife. Chinese researchers believe it may have been transmitted to humans from snakes, which in turn may have got it from bats. Both animals were known to have been sold at the market.

- The WHO was alerted to several cases of pneumonia in Wuhan City on Dec. 31 and on Jan. 7. Chinese authorities confirmed they had identified a new virus.

Source: Yahoo News
 
Pia middle east respiratory syndrome inasababishwa na unywaji wa maziwa mbichi ya ngamia,,na mkojo wa ngamia..
Hivyo ushauri kwa waislam walio middle east wasinywe mikojo ya ngamia kwasababu tu mtume aliagiza.
 
Pia middle east respiratory syndrome inasababishwa na unywaji wa maziwa mbichi ya ngamia,,na mkojo wa ngamia..
Hivyo ushauri kwa waislam walio middle east wasinywe mikojo ya ngamia kwasababu tu mtume aliagiza.
Hiyo ndiyo dawa, anaekunywa hivyo haugui na kama kaugua akinywa hivyo anapona.
 
Pia middle east respiratory syndrome inasababishwa na unywaji wa maziwa mbichi ya ngamia,,na mkojo wa ngamia..
Hivyo ushauri kwa waislam walio middle east wasinywe mikojo ya ngamia kwasababu tu mtume aliagiza.
... sijawahi kulijua hili! Kumbe mikojo ya ngamia huko Mashariki ya Kati ni "kinywaji"? Fafanua Chief.
 
Hiyo ndiyo dawa, anaekunywa hivyo haugui na kama kaugua akinywa hivyo anapona.
Asante sana Faiza! Kwa hakika leo nimepata kitu kipya kwamba mikojo ya ngamia ni dawa! Inatibu maradhi gani labda?
 
... sijawahi kulijua hili! Kumbe mikojo ya ngamia huko Mashariki ya Kati ni "kinywaji"? Fafanua Chief.
Ni kinywaji kwakuwa mtume aliagiza ni dawa na kinywewe....na kinauzika sana huko middle east
.
World health organization (WHO) wameidentify unywaji wa huo mkojo ni moja ya vitu vinavosababisha middle east syndrome
IMG_20200212_132437_658.jpeg
 
Ni kinywaji kwakuwa mtume aliagiza ni dawa na kinywewe....na kinauzika sana huko middle east
.
World health organization (WHO) wameidentify unywaji wa huo mkojo ni moja ya vitu vinavosababisha middle east syndrome
View attachment 1355226
... Shukrani Mkuu. Sijui nani yuko sahihi kati ya WHO na huyo aliyeagiza mikojo ya ngamia inywewe kama ni kweli aliagiza.
 
... sijawahi kulijua hili! Kumbe mikojo ya ngamia huko Mashariki ya Kati ni "kinywaji"? Fafanua Chief.
Now you know
Screenshot_2020-02-12-13-26-38.jpeg

Jiulize kama hao jamaa walipona kweli kwanini waliamua kumuua mchunga ngamia na kuwafungulia ngamia wakimbie badala ya kumshukuru mchungaji na kurudi kwa mtume??
Kwanini mtume aliwaua baada ya kufanya hivo??
Kumbuka anayereport hii hadith ni muislam na yuko biased kwahyo inawezekana hata walipokunywa walianza kuharisha
IMG_20200212_132953_898.jpeg
 
Now you knowView attachment 1355229
Jiulize kama hao jamaa walipona kweli kwanini waliamua kumuua mchunga ngamia na kuwafungulia ngamia wakimbie badala ya kumshukuru mchungaji na kurudi kwa mtume??
Kwanini mtume aliwaua baada ya kufanya hivo??
Kumbuka anayereport hii hadith ni muislam na yuko biased kwahyo inawezekana hata walipokunywa walianza kuharishaView attachment 1355232
... nahisi aliongea lugha ya kinyume wao wakashindwa kumwelewa wakaenda kubugia mamikojo ya ngamia. Hata manabii wengine na Yesu Kristo mwenyewe walipenda sana kutumia lugha ya kinyume utadhani kasema fanya hivi kumbe ni kinyume chake.
 
... nahisi aliongea lugha ya kinyume wao wakashindwa kumwelewa wakaenda kubugia mamikojo ya ngamia. Hata manabii wengine na Yesu Kristo mwenyewe walipenda sana kutumia lugha ya kinyume utadhani kasema fanya hivi kumbe ni kinyume chake.
Kwahiyo "nenda kanywe mkojo wa ngamia"
Kinyume chake ni nini??
P.s hakuna nabii au yesu mwenyewe hakuwahi kuongea kinyume.
 
Usishangae hiyo dawa, Mungu wa kwenye biblia amewapa mashonde zaidi ya mwaka mzima, sina unajuwa mashonde kuwa ni mavi? Soma...

Ezekiel 4:
12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.
 
Now you knowView attachment 1355229
Jiulize kama hao jamaa walipona kweli kwanini waliamua kumuua mchunga ngamia na kuwafungulia ngamia wakimbie badala ya kumshukuru mchungaji na kurudi kwa mtume??
Kwanini mtume aliwaua baada ya kufanya hivo??
Kumbuka anayereport hii hadith ni muislam na yuko biased kwahyo inawezekana hata walipokunywa walianza kuharisha

Unashangaa hiyo Stori ya Bukhari ya maziwa na mkojo wa ngamia kuwa dawa wakati wanasayansi wametafiti na kukiri kuwa kweli ni dawa.

Hushangai Mungu wa biblia kuwalisha Wana wa Israeli mavi Kwa siku 390? Sijui ilikuwa dawa hii au adhabu ya Mungu kuwalisha mavi? Soma...

Ezekiel 4:
12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.
 
Unashangaa hiyo Stori ya Bukhari ya maziwa na mkojo wa ngamia kuwa dawa wakati wanasayansi wametafiti na kukiri kuwa kweli ni dawa.

Hushangai Mungu wa biblia kuwalisha Wana wa Israeli mavi Kwa siku 390? Sijui ilikuwa dawa hii au adhabu ya Mungu kuwalisha mavi? Soma...

Ezekiel 4:
12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.
Oh the "lets go to the Bible defense"
Ningeshangaa kama usingekuja
Usually i expect unaletwaga na gavana but sio mbaya.
Turudi kwenye respiratory syndrome ambayo WHO wamethibitisha inasababishwa na mkojo wa ngamia
 
Back
Top Bottom