Middle East Political Unrest: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje wanatoa tamko gani juu ya usalama wa raia wa Tanzania waishio Mashariki ya Kati?

Je Marekani atavamia Iran??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapana
 
Tamko linatakiwa kutolewa na nch husika kuwa Kuna Hali ya hatari .

kwenye mahusiano ya kimataifa ukijitamkia tu waweza leta mgogoro mkubwa Kati yako na hiyo nchi unayoiyoitamkia tamko sababu mfano utalii kwenye hiyo nchi waweza poromoka,uwekezaji ukaporomoka ,investors wakaondoka ,biashara yake ya nje ikaanguka sababu watu watakataa kuingia mikataba ya Kibiashara nao kea ku base kwenye tamko lako.

Matamko.hayatolewi kiwehu wehu tu kisa Kuna mtanzania Yuko nje ya nchi anafanya kazi za kuosha matako vizee vya kizungu au vya kiirani
Kwahiyo US alivyotoa tamko juu ya raia wake waishio nje walitoa kiwehu wehu? Je hawakuangalia impact zitakazotokea kwenye hizo nchi?

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Shikamoo wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Leo swali langu ni kama ifuatavyo;

Serikali kupitia Wizara ya mambo ya nje wanatoa tamko gani kuhusiana na usalama wa raia wa Tanzania waishio Mashariki ya Kati?

OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO
Kwanza MOTTO hiyo ni ya wanaccm tu, pili serikali haikuwapeleka huko hivyo watajua wenyewe kwa kutoipenda nchi yao na kwenda kuishi nchi ya wengine, wakawaulize wenzao walioko Afrika Kusini ndege yetu ilirudi tupu ikiwaacha wauae.
 
serikali haikuwapeleka huko hivyo watajua wenyewe kwa kutoipenda nchi yao na kwenda kuishi nchi ya wengine, wakawaulize wenzao walioko Afrika Kusini ndege yetu ilirudi tupu ikiwaacha wauae.
Kwahiyo US alivyotoa tamko juu ya raia wake waishio nje walitoa kiwehu wehu? Je hawakuangalia impact zitakazotokea kwenye hizo nchi?
 
Wakubwa wakiwa wanaongea, watoto wananyamaza.

Sasa hatari gani ambayo watanzania huko IRAN hawaioni mpaka Serikali ya Tanzania ione ndo iwaambie.

Yaani hao watanzania huko hata Radio hawasikilizi...

Jiongeze bob

Sent using Jamii Forums mobile app
 
India issues travel warning on Iraq

India issued a travel warning asking its citizens to avoid "non-essential" travel to Iraq.

"In view of the prevailing situation in Iraq, Indian nationals are advised to avoid all non-essential travel to Iraq until further notification," India's foreign ministry said in a statement.

"Indian nationals residing in Iraq are advised to be alert and may avoid travel within Iraq," it said, adding that the Indian embassy in Baghdad and consulate in Erbil remain operational.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ujumla watanzia si walengwa kwenye mgogoro huo
Kama nchi inaona wananchi wake wapo hatarini kwenye nchi fulani,huchukua tahadhari ya kuwaondoa au kuwashauri mkuwa makini
Hatari walio nayo watanzania huko ni ya jumla kama raia wengine tu,lakini wao si walengwa,hivyo kama mtu ana wasiwasi na maisha yake ajiondoe tu
 
Kwa ujumla watanzia si walengwa kwenye mgogoro huo
Kama nchi inaona wananchi wake wapo hatarini kwenye nchi fulani,huchukua tahadhari ya kuwaondoa au kuwashauri mkuwa makini
Hatari walio nayo watanzania huko ni ya jumla kama raia wengine tu,lakini wao si walengwa,hivyo kama mtu ana wasiwasi na maisha yake ajiondoe tu
Mkuu, soma comment number 36 ya Masulupwete hapo juu kuhusiana na serikali ya India na raia wake. Ina maana wahindi ndio main target huko Iraq na Iran?
 
Nilitegemea Profesa Kabudi kwa niaba ya Serikali ya Tanzania hadi wakati huu awe ametoa tamko KALI kuonya kuwa Tanzania haitavumilia uchokozi wa aina yoyote unaofanywa na Marekani dhidi ya Taifa rafiki la Iran.

Si Kawaida ya Serikali ya
Tanzania inayoongozwa na Rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli kuvumilia uonevu kama huu, kwa hiyo naisihi Serikali ichukue hatua mara moja hata kwa kumwita na kumwonya Balozi wa Marekani hapa nchini ili tuwakomeshe MABEBERU!

Kama Kabudi hawezi basi hata Dr.Al Bashiru aseme neno🤔

Viva Tanzania

Viva Kabudi

Zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM
 
Back
Top Bottom