Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
If this statement is true, then something must be wrong somewhereYapaswa iwe hivyo ila kwa Tanzania sidhani km kitu hicho kinafanyika, nakumbuka suala la Msumbiji....kuna watanzania wenzetu walikuwa wanakimbia huko wengine wakawa wadhubutu kuvuka mito na wakafia humo...wengine walipoteza mali zao...kumbuka suala la S. Africa,....nilianza kuhisi baba hana huruma na watoto wake....."serikali haikuleta tetemeko""....Huko Kagera... Rwanda ilichangia, Kenya ilichangia, Uingereza ilichangia, Watanzania walichangia, kanisani tulichangia , misikitini tulichangia nk...raia wa Kagera waliopatwa na majanga walipewa pakti za biscut... nakumbuka baba alikuja kumeshakucha kabisa majirani walikuwa wameshatufariji kadri ya uwezo wao....baba alifika anawaambia kuwa si yeye aliyeleta tetemeko......Sembuse ndugu zetu walioko Ughaibuni.....nahisi hatuna bahati kwa kipindi hiki juu ya masuala ya utu.
Sent using Jamii Forums mobile app