lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Midahalo ya udasa imefia wapi?Toka enzi ya chama kimoja kulikuwa, na midahalo moto moto juu ya taifa, na utawala unaohusu mustakabali wa namna ya kujiongoza, lkn chashangaza toka serekali ya awamu ya tano iingie madarakani hakuna cha midahalo, wala makongamano, swali nini kimetokea kwenye utawa wa awamu ya tano?