Fojari ndiyo mtindo wa serikali ya CCM na chama hicho. Hatuwezi kuimili ushindani wa maisha ya sasa katika dunia hii kwa mtindo huu. Pengine ndiyo maana kuna umuhimu wa watanzania kuing'oa CCM 2015 ili tuanze maisha mapya na CDM, chama kitakachotuwezesha kushindana katika maisha ya sasa!