Angalia hii picha kwa makini hasa huyu alovaa sweta nyekundu yenye kofia nyeupe katokea mara ngapi ktk hii picha?
Sijui leo imetokea nini nikaenda kubrowse kwa michuzi maana huwa siendi
nilichokuta sikutegemea mtu na professional yake ya mtaan ya kupiga picha
anadiliki kuchakachua hizi picha
Bro Michuzi unachakachua kwa manufaa ya nani? Njaa mbaya
Mod naomba mnisadia kuattach vizuri ikiwa zimekaa vibaya
Angalia hii picha kwa makini hasa huyu alovaa sweta nyekundu yenye kofia nyeupe katokea mara ngapi ktk hii picha?
hapo nimekubali,michuzi anajidhalilisha.kawaida yao...ona hii hapa
Mnachunganya tu wengine ambao hatukwenda jangwani wala kuona kwenye Runinga. Wekeni basi hizo picha ambazo ni sahihi. Ambazo ni za leo na si za 2010. Wekeni ambazo hazijachakachuliwa. Yaani mtu unazungushia fulana iliyoandikwa 2010 unataka tuamini kwamba hao walikuwa kwenye mkutano wa kampeni 2010! Kwa hiyo watu hawavai fulani wala kofia za 2010 za CCM? Mbona uswabilini kwangu wengine wanatumia hizo fulana kuendea makanisani.
Nadhani wewe ndo umechukua picha kwa Michuzi na kuanza kuzichakachua ili ujenge hoja yako.
Siasa za bongo usije tishika na watu na kadi ulizogawa, watu wanaweza badilika siku moja tu. We kamwulize Mrema (TLP),