Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
Nimekuta mtu kamnukuu mwanamakala kutoka Michuzi Blog akiwa ameipa kichwa cha habari watanzania wasomi ndio tatizo la nchi yetu.na kutoa sababu ni
1. Tunalalamika sana
2. Tunapenda kuajiriwa " Civil Service na perdiem mentality"
Mawazo yangu kuna usemi unaosema maskini akipata ****** ulia mbwata. Simfahamu Michuzi namsikiaga na kumuonaga akipiga picha. Ujuzi wa kutumia kalamu ktk kuwashauri watu au kuielezea jamii fulani ameupata wapi??? Je anaelewa kama kunamaneno mengine ukiyatumia sipo yanaleta maana ya matusi kama sio kejeli na dharau? Wana JF mnisaidie kwahili........ NAWAKILISHA
1. Tunalalamika sana
2. Tunapenda kuajiriwa " Civil Service na perdiem mentality"
Mawazo yangu kuna usemi unaosema maskini akipata ****** ulia mbwata. Simfahamu Michuzi namsikiaga na kumuonaga akipiga picha. Ujuzi wa kutumia kalamu ktk kuwashauri watu au kuielezea jamii fulani ameupata wapi??? Je anaelewa kama kunamaneno mengine ukiyatumia sipo yanaleta maana ya matusi kama sio kejeli na dharau? Wana JF mnisaidie kwahili........ NAWAKILISHA