Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Hii blog ya michuz kila siku inaweka habari za JK , JK , JK tuuu!! inaboa sasa..!!!
Mara JK , kafanya hivi, mara JK atembelewa na flani, mara JK kaenda huku, Mara birthday ya mke wa JK, mara JK katungiwa kitabu..kila siku JK.. JK ..JK ..JK!!
Sawa ni Rais lkn sio kila habari yake tunaitaka.
Au Michuzi ameshakuwa mpiga picha wa rais??
Au michuzi naye yupo UWT??
Au Michuzi anafanya kumpigia promo mzee kurudishia umaarufu wake ulioporomoka?? and then...??
USHAURI WA BURE:
Michuzi japokuwa tunajua brog ni mali yako binafsi, lkn jaribu kuweta habari za jamii zaid, hiz za JK wanaozitaka wanajua pakuzipata..wataenda kwenye site za Uhuru, daily news, mtanzania,ikulu na kwenye blogs,facebook na website zake (JK) kibao zilizofunguliwa na watu wake.
Mara JK , kafanya hivi, mara JK atembelewa na flani, mara JK kaenda huku, Mara birthday ya mke wa JK, mara JK katungiwa kitabu..kila siku JK.. JK ..JK ..JK!!
Sawa ni Rais lkn sio kila habari yake tunaitaka.
Au Michuzi ameshakuwa mpiga picha wa rais??
Au michuzi naye yupo UWT??
Au Michuzi anafanya kumpigia promo mzee kurudishia umaarufu wake ulioporomoka?? and then...??
USHAURI WA BURE:
Michuzi japokuwa tunajua brog ni mali yako binafsi, lkn jaribu kuweta habari za jamii zaid, hiz za JK wanaozitaka wanajua pakuzipata..wataenda kwenye site za Uhuru, daily news, mtanzania,ikulu na kwenye blogs,facebook na website zake (JK) kibao zilizofunguliwa na watu wake.