JAMIIFORUMS ACHENI UNAFIKI KUDhani kuwa ninyi ni kila kitu.yapo matukio ambayo jf inakuwa haiyaweki ila ninyikwa kuwa mmeshalewa mnadhani kila habari lazima ianzie jf.juzi press comference ya chadema ililetwa hapa tokea blog ya mjengwa yule mnayemuita ninyi kibaraka wa ccm.wakati mwingine mnatia hasira sana nyie.mbona hata mimi nakaribia kuondoka na kuiblock jf maana siku hizi kimekuwa kijiwe cha matusi kama ya lusinde
Sasa hapo kwenye red unatutisha au unatueleza!? kwa taarifa yako Michuzi si mwajiliwa wa Ikulu bali huwa anamegewa Mapande tu na wajanja wajanja akina Salva, maana Ikulu yetu imeshakuwa ya Kiswahili na ni sehemu ya madili. Mpiga picha wa Ikulu anaitwa Fredy Maro.Nafikiri kabla ya kumhukumu mngetaka kujua alikuwa wapi na kwanini hakuja, maadili ya utumish wa umma ni tofauti na taratibu za vyombo binafsi, aidha kwa vyovyote michuzi huenda alikuwa na ratiba ambazo mwajiri wake ameshampangia hivyo kumlaumu moja kwa moja ni kutomtendea haki. Kuwa mpigapicha wa ikulu sio jambo dogo na sio kitu cha kuchezea.
Hahahahahaha JF bana wala haiboi
Huna hata chembe ya Credibility ya kuiongelea JF, be the first to know ni JF. tena wewe ni useless Member chapa lapa hata sasa hivi.JAMIIFORUMS ACHENI UNAFIKI KUDhani kuwa ninyi ni kila kitu.yapo matukio ambayo jf inakuwa haiyaweki ila ninyikwa kuwa mmeshalewa mnadhani kila habari lazima ianzie jf.juzi press comference ya chadema ililetwa hapa tokea blog ya mjengwa yule mnayemuita ninyi kibaraka wa ccm.wakati mwingine mnatia hasira sana nyie.mbona hata mimi nakaribia kuondoka na kuiblock jf maana siku hizi kimekuwa kijiwe cha matusi kama ya lusinde
JAMIIFORUMS ACHENI UNAFIKI KUDhani kuwa ninyi ni kila kitu.yapo matukio ambayo jf inakuwa haiyaweki ila ninyikwa kuwa mmeshalewa mnadhani kila habari lazima ianzie jf.juzi press comference ya chadema ililetwa hapa tokea blog ya mjengwa yule mnayemuita ninyi kibaraka wa ccm.wakati mwingine mnatia hasira sana nyie.mbona hata mimi nakaribia kuondoka na kuiblock jf maana siku hizi kimekuwa kijiwe cha matusi kama ya lusinde
Tobaaaaaaaaaaaaaa yailahi amenunua hilo la nini?
hayo ndio yanayowafanya watu kudiriki hata kuuwa waandishi ili mradi suti inayomeremeta kama hii ya ya michuzi
Inawezekana kamnunulia MKE wake zawadi ya Valentine. Kwa jinsi alivyolishika kwa hisia mpaka kafumba macho inatutia Mashaka waungwana..mpaka yule dada kwa nyuma kabakia kushangaa ya Musa. Mtu mzima na suti yake kalishika dubwana kwa hisia zote, Michuzi umetishaaaaa!
Michuzi na JK wametoka mbali wewe ulitaka hale wapi?View attachment 64616