Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,354
- 92,640
Michuzi hana kosa lolote, wenye matatizo ni ninyi mnaotembelea blog za kipuuzi kama hizo, mimi Michuzi nilishamblock na blog yake ipo kwenye black list na nimeiripoti kama spam kwenye Laptop yangu zaidi ya miaka 3 iliyopita, the same na nilivyomblock Maggid Mjengwa kuanzia juzi Jumapili kwenye laptop yangu.
Kwa kifupi hawa bloggers wawili ambao wanafikiri kwa kutumia matumbo yao, mimi si sehemu ya Jamii ninayopaswa kushare nao chochote kutoka kwao, hawa ni virus hatari katika Taifa kama hili.
Kwa kifupi hawa bloggers wawili ambao wanafikiri kwa kutumia matumbo yao, mimi si sehemu ya Jamii ninayopaswa kushare nao chochote kutoka kwao, hawa ni virus hatari katika Taifa kama hili.