Ahsante kwa muongozoFRANCE HATOBOI
Ni kweli mkuu hatabiriki,maana jana kakaza kwa kiasi flaniHatabiriki, Jana kacheza mpira wakizalendo sana
Sure mkuuAlionekana kumpa wakati mgumu sana Kroosi
Poaah bhana.I love both.
I love Ngolo Kante more!!!
Kante and Pogba when they start together for France:France ameshinda na Portugal ameshinda pia, hili kundi ni miongoni mwa Makundi magumu kwenye haya mashindano hadi sasa.
Ukiangalia namna timu zilivyocheza games zao za jana unaona timu mbili za France na Portugal zina nafasi ya kushinda. Ingawa kila timu naona ikiifunga timu dhaifu ya Hungary kwenye group lao.
All in all Ngolo Kante ameendelea kuonesha umuhimu mkubwa sana kwenye kiungo cha France hasa akiendelea kucheza na Paul Pogba
Thubutuuh hawa hawa na ndo watakaobaki ktk kundi lao.Timu Bora imeshinda .. hili kundi Nampa mfaransa na mreno.
Daaah yaan kaumiza San huyu hummelsNa shida ya goli la kujifunga mara nyingi huwa halirudi.
Pole sana Mkuu.Daaah yaan kaumiza San huyu hummels
France ndo timu yako pendwa nini mdogo wangu? 🤣🤣Ahsante kwa muongozo
Hahahahaaa. Mkuu ndo kusema unamdharau Portugal namna hiyo mana si ajabu wakikutana German akakaa.Thubutuuh hawa hawa na ndo watakaobaki ktk kundi lao.
Haiwezekani hata, jana enyewe pale kujifunga ilikua draw,Hahahahaaa. Mkuu ndo kusema unamdharau Portugal namna hiyo mana si ajabu wakikutana German akakaa.
Kwa match zijazo hakna ugumu wowote hapa, German anashinda zote bila ubishi.Pole sana Mkuu.
Yah ni kweli na amefanya mlima uwe mkubwa kwa mechi zijazo na hasa ukizingatia Portugal naye kaanza vizuri.
Kwa France hapo sawa ila kwa German. Mmmh.Haiwezekani hata, jana enyewe pale kujifunga ilikua draw,
Sasa mie nakuambia mshindi wa michuano hii atakua m1 wapo kat ya na .