Mnyuke junior
Member
- Jun 1, 2021
- 19
- 15
Mashindano ya uefa euro 2020 yanaanza kutimua vumbi leo ijumaa kwa mtanange mkali wa kundi A baina ya miamba TURKEY Vs ITALY majira ya saa 4 kamili usiku kwa saa za afrika ya mashariki, je wewe unamtabiria nani kuibuka bingwa wa euro 2020?? Weka utabiri wako hapa chini