dattani
Member
- Jul 16, 2011
- 99
- 201
Ati weweni mweusi mpaka ukisimama karibu na makaa customer anasema
> "nifungie hiyo kubwa"
>
> -Ati damme yako alikuwa na kichwa kubwa mpaka alipokufa jeneza ilikuwa
> na shape ya lollipop
>
> -Ati nyinyi ni wakristo mpaka wezi wakicome mbwa zenyu husema "iba tu
> mungu anakuona"
>
> -Ati nyumba yenyu ni ya makaratasi mpaka wezi wakicome husema "fungua
> ama turarue"
>
> -Ati wewe ni mkonde mpaka ukinyamba unasikia uchungu
>
> -Ati nyinyi ni wadosi mpaka shamba yenyu ina carpet
>
> -Ati nyinyi ni wengi mpaka christmas mnapika chapo mbili,moja ya wazazi
> ingine watoi wanavotia
>
> -Ati nyinyi ni wengi mpaka mnaponyolewa wa kwanza humea nywele kabla ya
> mwisho hajanyolewa
>
> -Ati manzi yako ni mnono mpaka akijifunga mshipi ya yellow watuhudhani
> ni mathree
>
> Ati manzi yako ana kichwa ndogo mpaka ukimkiss, unammumunya kama lollipop!
>
> Kwenyu nyinyi ni wadosi hadi chakula huwa served via bluetooth.
>
> KWENYU NYINYI NI WAKRISTO /SAVED HADI MNAPIKA UGALI NA MSALABA
>
> AS LONG AS A WOMAN IS BEAUTIFUL,SHE WILL NEVER LACK SUITORS!
>
> "Ati wewe ni kumbafu mpaka Reg. No. ya gari yako ni KBF 000F."
>
> *Ati wewe ni **** hadi ukifill application form space ya sex ulijaza ati
> "DAILY"
>
>
> *Ati mlango za gari yenu huwa zinafungwa na vifungo za shati.
>
> *Hao yenu ni bigi mpaka ukifungua mlango ya nyuma unatokea ocha.
>
> *Wewe ni mweusi hadi ukisimama usiku karibu na ukuta mtu atadhani nicrack!
>
> **Kichwa yako ni kubwa hadi ukiingia exam room invigilator anasema"there
> is no group work"
>
> ' Budako huhepa Job akaswing na Gate '
>
> ' Wewe mfupi mpaka unaendesha panadol kama tire'
>
> ' Wewe **** mpaka ulienda sunday school bording '
>
> ' Manzi yako ni msoto mpaka instead ya kutumia always pads anatumia
> sometimes pads'
>
> -Mbuyu wako ni mnono, akijipima weight inajiandika 1 at a time!!!
>
>
> -budako **** hadi alipoingia k-bu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe
> pesa.
>
>
> -manzi yako mnono ,ukimpeleka kwa cinema, ana sit next to everybody!
>
>
> -unakichwa bigi, ukifikiria unasikia echo!
>
>
> -wewe mzee,mpaka ati wewe ndio uli wipe table ya the last supper!
>
>
> -Nilikupata umezubaa ukiangalia chupa ya orange juice...ati juu imeandikwa
> "concentrate".
>
> -We Mshamba ulisikia computer inashika VIRUS ukainunulia condom
>
> Ati una mdomo kubwa mpaka uki yown!!!! shimo ya rasa inaonekana..
>
>
> 1. Ati doggy yenyu ni mzee mpaka wagondi wakicome kwenyu inapiga nduru ...
>
> 2. Ati dogi yenu ni mzee haina meno, wagondi wakikam inawatemea mate! ...
>
> 3. ati kwenu ni kuchafu mpaka mende wanavaa viatu .
>
> Ati kwenu nyinyi ni mko mbele hadi mkiishia ocha huwa mnaweka mizigo kwa
> flash disk.
>
> Eti wewe ni M-black Mosquito wakitaka kukuuma usiku lazima waje na torch
>
> Jogoo wenu nimlazy mpaka zingine zikiwika anasema " same"
> Eti paka yenu ni nooma, ikishika panya inaitisha salt
>
> Ati kwa estate yenu kuna insecurity ati usiku lazima muweke gate kwa hao..
> "nifungie hiyo kubwa"
>
> -Ati damme yako alikuwa na kichwa kubwa mpaka alipokufa jeneza ilikuwa
> na shape ya lollipop
>
> -Ati nyinyi ni wakristo mpaka wezi wakicome mbwa zenyu husema "iba tu
> mungu anakuona"
>
> -Ati nyumba yenyu ni ya makaratasi mpaka wezi wakicome husema "fungua
> ama turarue"
>
> -Ati wewe ni mkonde mpaka ukinyamba unasikia uchungu
>
> -Ati nyinyi ni wadosi mpaka shamba yenyu ina carpet
>
> -Ati nyinyi ni wengi mpaka christmas mnapika chapo mbili,moja ya wazazi
> ingine watoi wanavotia
>
> -Ati nyinyi ni wengi mpaka mnaponyolewa wa kwanza humea nywele kabla ya
> mwisho hajanyolewa
>
> -Ati manzi yako ni mnono mpaka akijifunga mshipi ya yellow watuhudhani
> ni mathree
>
> Ati manzi yako ana kichwa ndogo mpaka ukimkiss, unammumunya kama lollipop!
>
> Kwenyu nyinyi ni wadosi hadi chakula huwa served via bluetooth.
>
> KWENYU NYINYI NI WAKRISTO /SAVED HADI MNAPIKA UGALI NA MSALABA
>
> AS LONG AS A WOMAN IS BEAUTIFUL,SHE WILL NEVER LACK SUITORS!
>
> "Ati wewe ni kumbafu mpaka Reg. No. ya gari yako ni KBF 000F."
>
> *Ati wewe ni **** hadi ukifill application form space ya sex ulijaza ati
> "DAILY"
>
>
> *Ati mlango za gari yenu huwa zinafungwa na vifungo za shati.
>
> *Hao yenu ni bigi mpaka ukifungua mlango ya nyuma unatokea ocha.
>
> *Wewe ni mweusi hadi ukisimama usiku karibu na ukuta mtu atadhani nicrack!
>
> **Kichwa yako ni kubwa hadi ukiingia exam room invigilator anasema"there
> is no group work"
>
> ' Budako huhepa Job akaswing na Gate '
>
> ' Wewe mfupi mpaka unaendesha panadol kama tire'
>
> ' Wewe **** mpaka ulienda sunday school bording '
>
> ' Manzi yako ni msoto mpaka instead ya kutumia always pads anatumia
> sometimes pads'
>
> -Mbuyu wako ni mnono, akijipima weight inajiandika 1 at a time!!!
>
>
> -budako **** hadi alipoingia k-bu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe
> pesa.
>
>
> -manzi yako mnono ,ukimpeleka kwa cinema, ana sit next to everybody!
>
>
> -unakichwa bigi, ukifikiria unasikia echo!
>
>
> -wewe mzee,mpaka ati wewe ndio uli wipe table ya the last supper!
>
>
> -Nilikupata umezubaa ukiangalia chupa ya orange juice...ati juu imeandikwa
> "concentrate".
>
> -We Mshamba ulisikia computer inashika VIRUS ukainunulia condom
>
> Ati una mdomo kubwa mpaka uki yown!!!! shimo ya rasa inaonekana..
>
>
> 1. Ati doggy yenyu ni mzee mpaka wagondi wakicome kwenyu inapiga nduru ...
>
> 2. Ati dogi yenu ni mzee haina meno, wagondi wakikam inawatemea mate! ...
>
> 3. ati kwenu ni kuchafu mpaka mende wanavaa viatu .
>
> Ati kwenu nyinyi ni mko mbele hadi mkiishia ocha huwa mnaweka mizigo kwa
> flash disk.
>
> Eti wewe ni M-black Mosquito wakitaka kukuuma usiku lazima waje na torch
>
> Jogoo wenu nimlazy mpaka zingine zikiwika anasema " same"
> Eti paka yenu ni nooma, ikishika panya inaitisha salt
>
> Ati kwa estate yenu kuna insecurity ati usiku lazima muweke gate kwa hao..