Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />kucheza gololi mtaani
mi nilikuewa napenda mchezo wa baba na mama,, halafu namchukua mama tunaenda kazini. Huko tuendako ni mafichoni, tunanjunji weee tukichoka tunarudi kuungana na wenzetu tunasema tumeshatoka kazini
teh teh teh hivi watoto wa siku hizi bado wanacheza mchezo huo??
watto wa siku hzi hushinda kwenye play station.....................na kuhangaika na usharobaroteh teh teh hivi watoto wa siku hizi bado wanacheza mchezo huo??