shatisuruali
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 893
- 2,659
Hata mimimbna sijaona bei mkuu
Hata mimimbna sijaona bei mkuu
karibu na reli ya mwendokasi havifai hivyo! ni kelele kila siku na sauti ya viberenge na treni h ehe he au unaona raha kuona treni zinapita mbele yako .
Plot ya sq1000 ni sawa na Tsh. 30,000,000 - Akili yako ikapimwe kisha upimwe mkojoPata leo kiwanja Goba
Eneo: Goba (Tegeta A)
Bei: 30000 kwa mita mraba
Umbali: 100m kutoka barabarani
Wasiliana nasi kwa simu namba 0621399079
Au fika ofisini kwetu Ubungo, nyuma ya Ubungo Plaza.
Sent using Jamii Forums mobile app