Buzi Maarufu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 423
- 330
Una mume una mke,una mchepuko,unaanzaje kutembea na mchepuko wako bila kinga? Ok mmeamua kutotumia kinga,mnaanzaje kwenda pupa tu bila hata kujua siku za kushika mimba?
Je ikitokea hiyo mimba ya bahati mbaya ,nani anastahili lawama ?mwanamke au mwanaume?
Binafsi nasema hivi,mwanamke na mwanaume ambao ni michepuko halafu hawatumii kinga yoyote ni wapumbavu kabisa,mwanamke Utakuwa mpumbavu kwa 99 .9% na mwanaume Utakuwa mpumbavu kwa 0.1%,natamani kupiga mtu Ila naogopa kwenda kula ugali wa bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ikitokea hiyo mimba ya bahati mbaya ,nani anastahili lawama ?mwanamke au mwanaume?
Binafsi nasema hivi,mwanamke na mwanaume ambao ni michepuko halafu hawatumii kinga yoyote ni wapumbavu kabisa,mwanamke Utakuwa mpumbavu kwa 99 .9% na mwanaume Utakuwa mpumbavu kwa 0.1%,natamani kupiga mtu Ila naogopa kwenda kula ugali wa bure
Sent using Jamii Forums mobile app